okoyoko
JF-Expert Member
- Jun 15, 2014
- 2,664
- 3,641
hello
i have been a fan of chris breezy lkn nowdays naona jamaa cjui crack inamchanganya yani chris brown kwa ninavyom-respect sio mtu wa kupiga kolabo na fala kama kodak black kwenye ile nyimbo yake ya pills and automobils aliyotoa juzi juzi
Mara anashirikishwa na zoey dollaz ambae anazidiwa hata na hamorapa kwa umaarufu, nahic madawa na kuimba na underground ndo sababu inamfanya Chris brown asi-hit kipindi hiki kama ilivyokuwa zama zile alivyotoa nyimbo za with you kiss kiss, turn up, hadi loyal, madawa ya unga yanafanya nyota ya jamaa ishuke sana
I hope maybe baadae jamaa ata-change na kurudi kwenye hit
i have been a fan of chris breezy lkn nowdays naona jamaa cjui crack inamchanganya yani chris brown kwa ninavyom-respect sio mtu wa kupiga kolabo na fala kama kodak black kwenye ile nyimbo yake ya pills and automobils aliyotoa juzi juzi
Mara anashirikishwa na zoey dollaz ambae anazidiwa hata na hamorapa kwa umaarufu, nahic madawa na kuimba na underground ndo sababu inamfanya Chris brown asi-hit kipindi hiki kama ilivyokuwa zama zile alivyotoa nyimbo za with you kiss kiss, turn up, hadi loyal, madawa ya unga yanafanya nyota ya jamaa ishuke sana
I hope maybe baadae jamaa ata-change na kurudi kwenye hit