Sura ngumu safari inakuwa ndefu mnoAweke warembo sasa kama tilisho
kuna dereva anaitwa Machage, mwamba sana huyu jamaaJamaa alianza na Basi 2 za Scania kimsihara watu wakamchukulia poa, ila jamaa nachoona ni mjanja sana, alisalijili madereva wazoefu kutoka allys akawaongezea pesa nzuri, na kilichompa jina ni kuumwaga moto naskia abiria wa kanda ya ziwa hawapendagi kabisa gari za kulala njiani, akaongeza scania zingine 2 zikawa nne
Now naona kaongeza chuma cha 5 kutoka Scania na kuna irizar 2 kutoka South Africa jamaa naona hatanii
Kila la heri kwa huyu mwekezaji
View attachment 3032396
allys kaua sana basi zake za yutong kisa kushindana na hizi scaniaJamaa alianza na Basi 2 za Scania kimsihara watu wakamchukulia poa, ila jamaa nachoona ni mjanja sana, alisalijili madereva wazoefu kutoka allys akawaongezea pesa nzuri, na kilichompa jina ni kuumwaga moto naskia abiria wa kanda ya ziwa hawapendagi kabisa gari za kulala njiani, akaongeza scania zingine 2 zikawa nne
Now naona kaongeza chuma cha 5 kutoka Scania na kuna irizar 2 kutoka South Africa jamaa naona hatanii
Kila la heri kwa huyu mwekezaji
View attachment 3032396
Achana naye. Huyu ni mtu wa Nshamba Muleba, watu wa Nshamba hawajui kitu kingine isipokuwa biashara tu. Wapo akina Kyeju nk.Jamaa alianza na Basi 2 za Scania kimsihara watu wakamchukulia poa, ila jamaa nachoona ni mjanja sana, alisalijili madereva wazoefu kutoka allys akawaongezea pesa nzuri, na kilichompa jina ni kuumwaga moto naskia abiria wa kanda ya ziwa hawapendagi kabisa gari za kulala njiani, akaongeza scania zingine 2 zikawa nne
Now naona kaongeza chuma cha 5 kutoka Scania na kuna irizar 2 kutoka South Africa jamaa naona hatanii
Kila la heri kwa huyu mwekezaji
View attachment 3032396
Ili nini kiwe mkuuNatamani kurudi enzi zangu ila umri unanisaliti
Uzuri wa basi ni kuwa na Wi-Fi, choo, viti vinavyotanuka, chaja ya simu, tv(siyo video) na vinywaji(hata bia ikimpendeza mwenye kampuni).Jamaa alianza na Basi 2 za Scania kimsihara watu wakamchukulia poa, ila jamaa nachoona ni mjanja sana, alisalijili madereva wazoefu kutoka allys akawaongezea pesa nzuri, na kilichompa jina ni kuumwaga moto naskia abiria wa kanda ya ziwa hawapendagi kabisa gari za kulala njiani, akaongeza scania zingine 2 zikawa nne
Now naona kaongeza chuma cha 5 kutoka Scania na kuna irizar 2 kutoka South Africa jamaa naona hatanii
Kila la heri kwa huyu mwekezaji
View attachment 3032396
Chai.kuna dereva anaitwa Machage, mwamba sana huyu jamaa
traffic walitaka kurudisha gari kutoka ubena hadi chalinze kwamba akatoe maelezo, jamaa kawambia mimi sirudi nyuma, wacha niende mwanza nisicheleweshe abiria nikirudi nitakuja kutoa hayo maelezo
Kila mfanyabiashara ana model yake yake ya biashara. Mbona Kilimanjaro na Nacharo bado wana Scania kibao tu na zingine ni mpya kabisa?Amuulize SAULI alifeli wapi hadi scania wakaja kuchukua mabasi yao, ili aisije kupitia ya SAULI
Yutong?allys kaua sana basi zake za yutong kisa kushindana na hizi scania
yesYutong?
Kila mfanyabiashara ana model yake yake ya biashara. Mbona Kilimanjaro na Nacharo bado wana Scania kibao tu na zingine ni mpya kabisa?
Sauli ndio alimuuzia?Sauli amechangia pakubwa kwa huyu jamaa alivo muuzia lile polo kichaa dxe