bwii
JF-Expert Member
- May 24, 2014
- 1,429
- 2,669
Nilivyokuwa bachelor nilikuwa napika mboga kwa staili hii, maharage nusu na nyama nanunua nusu navichemsha hadi viive then naviweka kwenye friji halaf nakuwa naiunga nikiitaji kula, kuku nanunua mzima nampika mchemsho yaani viazi, ndizi,karoti,hoho,kitunguu nachanganyia pamoja naweka kwenye friji in case kama
Siku nimechoka sana napasha kidogo then nakula,hii shughuli nilikuwa naifanya weekend kuandaa ili kuepuka kupoteza muda Sikh za kaz kwa kuwa nakuwa na uchov sana.nikiamua kubadili mboga zaid nanunua samaki waliokwisha kaangwa, chakula n ugali na wali tu
Siku nimechoka sana napasha kidogo then nakula,hii shughuli nilikuwa naifanya weekend kuandaa ili kuepuka kupoteza muda Sikh za kaz kwa kuwa nakuwa na uchov sana.nikiamua kubadili mboga zaid nanunua samaki waliokwisha kaangwa, chakula n ugali na wali tu