Upo kama mimi mkuuKibachela buku tu inatosha.
Hua nazungusha kiugali changu unga robo 200. Napika kwa kerosine stove (jiko la mchina). Mafuta koroboi 2 150 jumla 300. Yanatosha kuivisha ugali.
Mboga: Nachukua na dagaa mchele wa kulumagia. Japo fungu ni buku niliingia MoU na Mama Chuki awe ananiuzia nusu fungu yaani 500 na kila siku nanunua kwake tu
Sipakui ugali nakula kwenye sufuria tu na dagaa nakula kwenye gazeti lake. Kwahyo kazi yangu ni kuosha sufuria na mwiko tu.
Sent using Jamii Forums mobile app