Naona kuna Mkakati wa kum-underestimate Zitto Kabwe na ACT Wazalendo. Ni kama wamemdharau

Naona kuna Mkakati wa kum-underestimate Zitto Kabwe na ACT Wazalendo. Ni kama wamemdharau

Why linapokuja suala kubwa la upinzani ni Ccm na Cdm tu? Act ni kama haipo kabisa. Lengo ni nini?

Tunamuona Rais na Mbowe kila wakati. Wakizungumzia upinzani na siasa ni ccm na chadema tu. Je ni makusudi kumdogosha Zitto au zitto junior na akina Zitto wengine?

Au bado zile pesa hazijaisha so anaendekea kula kimya kimya?
Masahihisho : Zitto Junior siyo Zitto Kabwe
 
Why linapokuja suala kubwa la upinzani ni Ccm na Cdm tu? Act ni kama haipo kabisa. Lengo ni nini?

Tunamuona Rais na Mbowe kila wakati. Wakizungumzia upinzani na siasa ni ccm na chadema tu. Je ni makusudi kumdogosha Zitto au zitto junior na akina Zitto wengine?

Au bado zile pesa hazijaisha so anaendekea kula kimya kimya?
Act si 8ko bega kwa bega na ccm?
Huoni Zenz wamepewa u makamu?
 
Why linapokuja suala kubwa la upinzani ni Ccm na Cdm tu? Act ni kama haipo kabisa. Lengo ni nini?

Tunamuona Rais na Mbowe kila wakati. Wakizungumzia upinzani na siasa ni ccm na chadema tu. Je ni makusudi kumdogosha Zitto au zitto junior na akina Zitto wengine?

Au bado zile pesa hazijaisha so anaendekea kula kimya kimya?
ACT ni sawa na TADEA, TLP, NCCR na tuvyama twingine twa levels hizo, havina impact na wala si threat kwa rulling party hivyo hawaoni umuhimu wa kuwahusisha kwenye lolote unless kama ni program ya kuishambulia CHADEMA hapo wanaweza kushirikishwa.
Hata Pemba kwa sasa hakina makali kama ilivyokuwa enzi za Maalim Seif, hivyo ni vyama vya wakati wa uchaguzi tu.
 
ACT bado ni chama ambacho hakija pevuka katika siasa ni chama kilicho pata nguvu ya muda mfupi hasa sababu ya Maalim seilf.

Vijana wengi hawana weledi katika kujenga hoja huwezi tofautisha uvccm na ngome ya vijana wa ACT

"Siasa ni sayansi"
 
ACT = CCM.

Hakuna mkakati wowote, hiyo ndio hali halisi.
 
Why linapokuja suala kubwa la upinzani ni Ccm na Cdm tu? Act ni kama haipo kabisa. Lengo ni nini?

Tunamuona Rais na Mbowe kila wakati. Wakizungumzia upinzani na siasa ni ccm na chadema tu. Je ni makusudi kumdogosha Zitto au zitto junior na akina Zitto wengine?

Au bado zile pesa hazijaisha so anaendekea kula kimya kimya?
Chadema ndio mwendo twende na Chadema.
 
Wakuu, mimi nadhani tufike mahali tutafute njia bora ya kuwa na Vyama vya Siasa HAI na BORA katika Taifa letu. Kuwepo na Kanuni, 1. "kwamba Chama cha Siasa ili kiendelea kuwa Chama hai ni budi kiwe na Kiongozi/Viongozi wa kuchaguliwa na Wananchi katika UCHAGUZI MKUU, ndani ya Mihimili yetu (Serikali, Bunge na Mhakama). 2. "Chama cha Siasa ambacho hakikutimiza takwa hilo hapo juu ndani ya miaka kumi (Chaguzi Kuu 2) basi Msajili wa Vyama akiondoe kuwa Chama cha Siasa".

Utaratibu huu utaondoa ile dhana ya kuona Vyama vikubwa vinaunda vyama vyao vidogovidogo (vyama "B", "C".... ), ambavyo kazi yao kuu ni ya-kidalali. Kanuni hii itaokoa fedha nyingi ambayo itatumika kibajeti kwa manufaa ya Nchi.
 
Wakuu, mimi nadhani tufike mahali tutafute njia bora ya kuwa na Vyama vya Siasa HAI na BORA katika Taifa letu. Kuwepo na Kanuni, 1. "kwamba Chama cha Siasa ili kiendelea kuwa Chama hai ni budi kiwe na Kiongozi/Viongozi wa kuchaguliwa na Wananchi katika UCHAGUZI MKUU, ndani ya Mihimili yetu (Serikali, Bunge na Mhakama). 2. "Chama cha Siasa ambacho hakikutimiza takwa hilo hapo juu ndani ya miaka kumi (Chaguzi Kuu 2) basi Msajili wa Vyama akiondoe kuwa Chama cha Siasa".

Utaratibu huu utaondoa ile dhana ya kuona Vyama vikubwa vinaunda vyama vyao vidogovidogo (vyama "B", "C".... ), ambavyo kazi yao kuu ni ya-kidalali. Kanuni hii itaokoa fedha nyingi ambayo itatumika kibajeti kwa manufaa ya Nchi.
Hoja yako nimeipenda lkn mkuu elewa sheria zote zinaundwa na ccm haitawezekana ccm wakubaliane na hoja yako kwa sababu baadhi ya vyama ni msaada kwa ccm vikiondoka ccm nguvu itapungua
 
Why linapokuja suala kubwa la upinzani ni CCM na CHADEMA tu? ACT Wazalendo ni kama haipo kabisa. Lengo ni nini?

Tunamuona Rais na Mbowe kila wakati. Wakizungumzia upinzani na siasa ni ccm na chadema tu. Je ni makusudi kumdogosha Zitto au zitto junior na akina Zitto wengine?

Au bado zile pesa hazijaisha so anaendekea kula kimya kimya?
Hapa kiongozi ACT haijadharauliwa wao tayari wamo kwenye serekali znb inawezekana wameridhika kuwa upande mmoja
 
Hoja yako nimeipenda lkn mkuu elewa sheria zote zinaundwa na ccm haitawezekana ccm wakubaliane na hoja yako kwa sababu baadhi ya vyama ni msaada kwa ccm vikiondoka ccm nguvu itapungua
Mkuu nilicho fanya mimi ni kutoa hii hoja ili kama itawapendeza wadau ambao watahusika na Katiba Mpya basi waone kuwa wakati mwafaka umefika wa HOJA hii kuiweka kwenye Katiba Mpya. Natambua ni ngumu kumeza. Lakini kwa umoja wetu tupaze sauti juu ya hili. Kwa kweli haipendezi kuwa na vyama vya mifukoni.
 
Wakuu, mimi nadhani tufike mahali tutafute njia bora ya kuwa na Vyama vya Siasa HAI na BORA katika Taifa letu. Kuwepo na Kanuni, 1. "kwamba Chama cha Siasa ili kiendelea kuwa Chama hai ni budi kiwe na Kiongozi/Viongozi wa kuchaguliwa na Wananchi katika UCHAGUZI MKUU, ndani ya Mihimili yetu (Serikali, Bunge na Mhakama). 2. "Chama cha Siasa ambacho hakikutimiza takwa hilo hapo juu ndani ya miaka kumi (Chaguzi Kuu 2) basi Msajili wa Vyama akiondoe kuwa Chama cha Siasa".

Utaratibu huu utaondoa ile dhana ya kuona Vyama vikubwa vinaunda vyama vyao vidogovidogo (vyama "B", "C".... ), ambavyo kazi yao kuu ni ya-kidalali. Kanuni hii itaokoa fedha nyingi ambayo itatumika kibajeti kwa manufaa ya Nchi.
Huo utaratibu sidhani kama ni mzuri. Kuna vyama vinaweza kufanya umafia vingine vikose kiongozi au vingine viingie na vibaraka vyao!
Mi napendeka iwepo mirengo mikuu miwili ili tubaki na vyama vikuu viwili tu!
Vyama vitavyobainika kuwa mirengo yake ipo upande mmoja viwekwe pamoja. Na vingine vinavyopingana navyo viwekwe pamoja upande mwingine.
Hakuna haja ya kuwa na vyama visivyo na malengo au ambavyo vinapingana na vile vyenye malengo sawa!
Tunajicheleweshea Maendeleo kwa kuendekeza utitiri wa vyama!
 
Back
Top Bottom