Sawa hapa kwenye uzi tutajadili tutajipa moyo nakujiona sisi wanaume sio wahanga wa ngono!, tukizima tu data tukarudi mtaani tayari kila kitu kinabadilika!, huku wadada wanatunyoosha haswa..🤣
Mi nafikiri kila mtu apambane na anavyoweza hapa tutazungumza hivi yatapitia hivi