Naona league ya NBC inahamia visiwani Mzizima Dabi kupigwa huko

Naona league ya NBC inahamia visiwani Mzizima Dabi kupigwa huko

hata sioni tatizo hapo! maana taifa bado inakarabatiwa sasa mnafikiri watapeleka wapi..?
by the way Zanzibar kiwanja cha amani ni kizuri hata hivyo!,kule mwanza wameshindwa kuboresha ccm kirumba mpk sasa! yani kiwanja cha amani kinazidi cha ccm kirumba mwanza!..😅

na hapo kinachokuja ku take over ni cha arusha wakati cha arusha kitakuwa kipya! kanda yaziwa imelala wakati walau yenyewe ni kanda ya kimichezo ila kiwanja hola!.

by the way it's too easy to choose amani complex coz at least it has good pitch than kirumba and also most of the big football teams they are living in dar so it's too easy to reach Zanzibar than mwanza!.
kwangu mimi sioni shida wao kuchagua Zanzibar!
 
H

by the way it's to easy to choose amani complex coz at least they have good pitch than kirumba and also most of the big football teams they are living in dar so it's too easy to reach Zanzibar than mwanza!.
kwangu mimi sioni shida wao kuchagua Zanzibar!
Hapa sijaelewa mkalimani anahitajika, sijui ni Kiswahili cha wapi hili? Labda cha Bukoba
 
Hapa sijaelewa mkalimani anahitajika, sijui ni Kiswahili cha wapi hili? Labda cha Bukoba
ila wabongo acheni mikwara! sio kwamba hujaelewa umeelewa maana nilichokosea ni herufi kadhaa na kuna grammar moja hapo nimeyakanyaga! niliandika sikuhariri ndio maana!.
 
ila wabongo acheni mikwara! sio kwamba hujaelewa umeelewa maana nilichokosea ni herufi kadhaa na kuna grammar moja hapo nimeyakanyaga! niliandika sikuhariri ndio maana!.
umenichekesha utetezi wako 🤣
 
hata sioni tatizo hapo! maana taifa bado inakarabatiwa sasa mnafikiri watapeleka wapi..?
by the way Zanzibar kiwanja cha amani ni kizuri hata hivyo!,kule mwanza wameshindwa kuboresha ccm kirumba mpk sasa! yani kiwanja cha amani kinazidi cha ccm kirumba mwanza!..😅

na hapo kinachokuja ku take over ni cha arusha wakati cha arusha kitakuwa kipya! kanda yaziwa imelala wakati walau yenyewe ni kanda ya kimichezo ila kiwanja hola!.

by the way it's too easy to choose amani complex coz at least it has good pitch than kirumba and also most of the big football teams they are living in dar so it's too easy to reach Zanzibar than mwanza!.
kwangu mimi sioni shida wao kuchagua Zanzibar!
Shida uwezo wa kipato cha wananchi wa huko timu zitapata hasara sana mfano mechi ya Yanga na Waethiopia kiingilio kilikuwa kidogo uwanja haukujaa sema wanaogopa kukataa kwenda kule
 
Mpira umeisaidia sana Tanzania bara kuwapumbaza watu kuachana na mambo ya siasa ya nchi. Kule Zanzibar bado wako vimbembele na siasa ya nchi yao. Wamejaribu kubust ligi yao angalau iwe na vibe kwa watu imefeli.

The only option ni kuhamisha ligi ya bara isambae na Zanzibar hususani ni hizi simba na yanga...zinaenda kuwatoa wazanzibar kwenye reli ya kufuatilia siasa kwa haraka sana.
 
Tatizo ni Uchawa. Hii nchi ni ya Kise.... sana yaani.
Hamia Rwanda akaone kilichomtoa kuku wa kishingo manyoya yake, eti nchi ya kese.....!!!, mukishiba ugali na maharage ndio mnajiropokea tu mitusi. Nenda ukaishi Rwanda uijue rangi halisi ya Kagame.
 
Back
Top Bottom