Naona majirani zetu kijeshi wamechangamka hivi sisi tumejiandaaje

Naona majirani zetu kijeshi wamechangamka hivi sisi tumejiandaaje

bikira latifah

JF-Expert Member
Joined
Oct 27, 2016
Posts
667
Reaction score
1,850
Hebu tujadili

Ujue naona miaka 5 au 10 ijayo nawaona Rwanda na Uganda kama watu ambao wanaweza kuja kuvuruga east Africa, Rwanda Tayari huko Congo mnajionea na anazidi kujitanua kijeshi kwa mwamvuli wa m23 na inasemekana zimeshuhudiwa silaha za kisasa hadi Drones Advanced weapon wanazo na majeshi ya kulinda amami inasemekana baadhi wamejisalimisha

Nliwahi kuskia hapo Kwa Pk wana hadi mifumo ya kisasa ya kuzuia makombora

Uganda nawaona ni wastaharabu sababu ya museven Hekima aliyonayo lakini kwa umri aliokuwa nao m7 namuona mwanae Kaine akiyashika Madaraka mda sio mrefu na yule ndio tishio sasa sababu hana hekima na analiamini jeshi lake kupindukia yaani ana ile dam ya kiidamini damu ya mabavu yule mtoto akiyashika madaraka hapo Uganda lazma tuwe na Tahadhari

Je tumejipanga?
 
Kusifu ccm na kujiita story za abunuwasi kuwa tuna jeshi imara la pili kutoka USA
 
Rwanda anapigana kama muhasi, Tanzania wapo umoja maalumu yaani SADC, wana msharti wamepewa na umoja wa matiaifa hawatakiwi kuyavuka, hasa kwenye Matumizi ya silaha kali.
 
Rwanda anapigana kama muhasi, Tanzania wapo umoja maalumu yaani SADC, wana msharti wamepewa na umoja wa matiaifa hawatakiwi kuyavuka, hasa kwenye Matumizi ya silaha kali.
Yaan hawa hawajui kwamba majeshi yote yaliyopo kule Congo kwa mwamvuli wa SADC na UN yanafuata maelekezo. Hiyo misafara ya UN huwa inasimamishwa na waasi, wanachukua maji ya kunywa, spare tire na supplies kibao, mnawaacha wabebe wanachotaka alafu wanaondoka zao,mnawasha magari yenu mnarudi kambini.
 
Hebu tujadili

Ujue naona miaka 5 au 10 ijayo nawaona Rwanda na Uganda kama watu ambao wanaweza kuja kuvuruga east Africa, Rwanda Tayari huko Congo mnajionea na anazidi kujitanua kijeshi kwa mwamvuli wa m23 na inasemekana zimeshuhudiwa silaha za kisasa hadi Drones Advanced weapon wanazo na majeshi ya kulinda amami inasemekana baadhi wamejisalimisha

Nliwahi kuskia hapo Kwa Pk wana hadi mifumo ya kisasa ya kuzuia makombora

Uganda nawaona ni wastaharabu sababu ya museven Hekima aliyonayo lakini kwa umri aliokuwa nao m7 namuona mwanae Kaine akiyashika Madaraka mda sio mrefu na yule ndio tishio sasa sababu hana hekima na analiamini jeshi lake kupindukia yaani ana ile dam ya kiidamini damu ya mabavu yule mtoto akiyashika madaraka hapo Uganda lazma tuwe na Tahadhari

Je tumejipanga?
Nchi yetu tunaongozwa na mama, wanawake ni jeshi kubwa. Miaka mitano ijayo tutayaka more than 80% ya wanajeshi wetu wawe ni wanawake.
 
Sisi bado tunapambana kujenga matundu ya vyoo...😶
 
Ila story za vijiweni za wabongo😂😂😂😂.
Inawezekana kiidadi tupo nao average ya tofauti kidogo kati ya wanajeshi 5000 mpaka 10,000. Depending na uchumi wetu hatuhitaji wengi sana.
TPDF ina wapita hizo nchi ulizotaja kirasilimali na uwezo wa kiulinzi. Hata bajeti yetu ya jeshi uganda ana 1000b$ sisi tuna 900m $ hivi.
Hao wote sisi tumewapita hata ndege za kivita uganda anayo moja na kama amezidi su zake hazizidi tano. Sisi tuna yard kabisa na ndege nyingi tu za kivita. Rwanda ina ndege chache na majeshi yake yanategemea sana mafunzo ya ardhini.
Na tuna uzoefu mkubwa wa kivita ile ya uganda na hata hizi harakati za UN.
Hatuwezi gombana nao hao. Ila tukofiti. Asikueleze mtu. Jeshi la bongo wewe sikia tu vijiweni. Tembea border huko. Tembea Congo au nenda pale mtambaswala kakutane na wasumbiji, we are good my brother
 
Ila story za vijiweni za wabongo😂😂😂😂.
Inawezekana kiidadi tupo nao average ya tofauti kidogo kati ya wanajeshi 5000 mpaka 10,000. Depending na uchumi wetu hatuhitaji wengi sana.
TPDF ina wapita hizo nchi ulizotaja kirasilimali na uwezo wa kiulinzi. Hata bajeti yetu ya jeshi uganda ana 1000b$ sisi tuna 900m $ hivi.
Hao wote sisi tumewapita hata ndege za kivita uganda anayo moja na kama amezidi su zake hazizidi tano. Sisi tuna yard kabisa na ndege nyingi tu za kivita. Rwanda ina ndege chache na majeshi yake yanategemea sana mafunzo ya ardhini.
Na tuna uzoefu mkubwa wa kivita ile ya uganda na hata hizi harakati za UN.
Hatuwezi gombana nao hao. Ila tukofiti. Asikueleze mtu. Jeshi la bongo wewe sikia tu vijiweni. Tembea border huko. Tembea Congo au nenda pale mtambaswala kakutane na wasumbiji, we are good my brother
Hata Congo walikuwa na KAMANYOLA
 
Hebu tujadili

Ujue naona miaka 5 au 10 ijayo nawaona Rwanda na Uganda kama watu ambao wanaweza kuja kuvuruga east Africa, Rwanda Tayari huko Congo mnajionea na anazidi kujitanua kijeshi kwa mwamvuli wa m23 na inasemekana zimeshuhudiwa silaha za kisasa hadi Drones Advanced weapon wanazo na majeshi ya kulinda amami inasemekana baadhi wamejisalimisha

Nliwahi kuskia hapo Kwa Pk wana hadi mifumo ya kisasa ya kuzuia makombora

Uganda nawaona ni wastaharabu sababu ya museven Hekima aliyonayo lakini kwa umri aliokuwa nao m7 namuona mwanae Kaine akiyashika Madaraka mda sio mrefu na yule ndio tishio sasa sababu hana hekima na analiamini jeshi lake kupindukia yaani ana ile dam ya kiidamini damu ya mabavu yule mtoto akiyashika madaraka hapo Uganda lazma tuwe na Tahadhari

Je tumejipanga?
Kwa wizi wa rasilimali za Congo, lazima wapate pesa ya kununua silaha
 
Ila story za vijiweni za wabongo😂😂😂😂.
Inawezekana kiidadi tupo nao average ya tofauti kidogo kati ya wanajeshi 5000 mpaka 10,000. Depending na uchumi wetu hatuhitaji wengi sana.
TPDF ina wapita hizo nchi ulizotaja kirasilimali na uwezo wa kiulinzi. Hata bajeti yetu ya jeshi uganda ana 1000b$ sisi tuna 900m $ hivi.
Hao wote sisi tumewapita hata ndege za kivita uganda anayo moja na kama amezidi su zake hazizidi tano. Sisi tuna yard kabisa na ndege nyingi tu za kivita. Rwanda ina ndege chache na majeshi yake yanategemea sana mafunzo ya ardhini.
Na tuna uzoefu mkubwa wa kivita ile ya uganda na hata hizi harakati za UN.
Hatuwezi gombana nao hao. Ila tukofiti. Asikueleze mtu. Jeshi la bongo wewe sikia tu vijiweni. Tembea border huko. Tembea Congo au nenda pale mtambaswala kakutane na wasumbiji, we are good my brother
Wewe mpumbavu unajua 1000$ billions au 900$ bilions ni kiasi gani cha pesa wewe Kenge ,?
Ninyi ndio mafala unaokuta mnapewa teuzi za uongozi nchini humu .Zero brains
Hiyo 10000$ billions ni Uchumi na GDP ya Africa nzima wewe zoba
Tanzania nchi inayoonca misaada ya kujengewa choo ndio ina spending power ya hivyo ?
 
Yaan hawa hawajui kwamba majeshi yote yaliyopo kule Congo kwa mwamvuli wa SADC na UN yanafuata maelekezo. Hiyo misafara ya UN huwa inasimamishwa na waasi, wanachukua maji ya kunywa, spare tire na supplies kibao, mnawaacha wabebe wanachotaka alafu wanaondoka zao,mnawasha magari yenu mnarudi kambini.
Hata sielewi nisaidie
 
China na Russia wenyewe hawana spending power ya 1000$ billions kwenye military , US Tu Ndio ana spending trend hiyo ,na si miaka yote ,ni baadhi ya miaka ndio ana spend trillion of USD kwenye military
 
TPDF ina wapita hizo nchi ulizotaja kirasilimali na uwezo wa kiulinzi. Hata bajeti yetu ya jeshi uganda ana 1000b$ sisi tuna 900m $ hivi.
Hii unanipa shaka na uelewa wako, Sasa unawapitaje hapo
 
Hii unanipa shaka na uelewa wako, Sasa unawapitaje hapo
Mantiki yake nimemuexclude rwanda,
Unanipa shaka sana na uelewa wako pia,
Maana nimekudadavuliwa kuachana na budget, uwezo wa jeshi la Anga, resources tulizonazo, uwepo wa majeshi tofauti. Tanzania imepita wote. Ni uganda tu katupita kibajeti. Kwa dolla 100m tu. Na hapo anawanajeshi over 50,000 na sisi tuna 35-40k.
Una akili timamu lakini kusoma na hapa?
 
Mantiki yake nimemuexclude rwanda,
Unanipa shaka sana na uelewa wako pia,
Maana nimekudadavuliwa kuachana na budget, uwezo wa jeshi la Anga, resources tulizonazo, uwepo wa majeshi tofauti. Tanzania imepita wote. Ni uganda tu katupita kibajeti. Kwa dolla 100m tu. Na hapo anawanajeshi over 50,000 na sisi tuna 35-40k.
Una akili timamu lakini kusoma na hapa?
Kwamba Uganda ana 1000 billions usd, na tz ana 900 milioni usd kwanza haiwezekani pili hakuna tofauti ya 100 milions usd hapo
 
Back
Top Bottom