Naona majirani zetu kijeshi wamechangamka hivi sisi tumejiandaaje

Naona majirani zetu kijeshi wamechangamka hivi sisi tumejiandaaje

Wewe mpumbavu unajua 1000$ billions au 900$ bilions ni kiasi gani cha pesa wewe Kenge ,?
Ninyi ndio mafala unaokuta mnapewa teuzi za uongozi nchini humu .Zero brains
Hiyo 10000$ billions ni Uchumi na GDP ya Africa nzima wewe zoba
Tanzania nchi inayoonca misaada ya kujengewa choo ndio ina spending power ya hivyo ?
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wewe mpumbavu unajua 1000$ billions au 900$ bilions ni kiasi gani cha pesa wewe Kenge ,?
Ninyi ndio mafala unaokuta mnapewa teuzi za uongozi nchini humu .Zero brains
Hiyo 10000$ billions ni Uchumi na GDP ya Africa nzima wewe zoba
Tanzania nchi inayoonca misaada ya kujengewa choo ndio ina spending power ya hivyo ?
Wanakutia wewe soma vizuri, 900m$ ya bongo kwenye military, sio 900b$ acha kuwehuka mbona umehype opp na msg .
 
Yaan hawa hawajui kwamba majeshi yote yaliyopo kule Congo kwa mwamvuli wa SADC na UN yanafuata maelekezo. Hiyo misafara ya UN huwa inasimamishwa na waasi, wanachukua maji ya kunywa, spare tire na supplies kibao, mnawaacha wabebe wanachotaka alafu wanaondoka zao,mnawasha magari yenu mnarudi kambini.
Katika comments zote, wewe ndiye pekee unayeelewa udhaifu wa misheni za UN ambavyo haziwezi kukabiliana na waasi kwa vyovyote vile.

Wengine naona wanalaumu askari wa Tpdf kujisalimisha ama kuweka silaha chini wakiwa Rwanda!

Misheni za UN kama si za kimapigano hazisaidii na wala haziwezi kujibu mapigo ya waasi.
 
Back
Top Bottom