Kwann Anataka kukata mawasiliano na mke wa mtu bila kupewa kachumbari, asubiri kwanza afirw3 ndipo amuache huyo mwanamkeAmfanye nini?
Utafichwa shauri yako kosa ulioni hapo?Me kosa langu wapi sasa
Afirw3 ndio kusemaje?Kwann Anataka kukata mawasiliano na mke wa mtu bila kupewa kachumbari, asubiri kwanza afirw3 ndipo amuache huyo mwanamke
bana hapo hapo ili uje kukamatwa right handed vizuri na huyo bwanake, ndio sasa muache wizi vizuri.Habari,
Wakuu bana me nilikuwa namla demu mmoja miaka 3 iliyopita huko tukaja kuachana kupotezeana sasa mwaka HUU kahamia hapa ninapokaa kumbe alishazaaga huko mtoto mwaka na kitu hivi sasa mshakji aliomzalisha kampangia hapa karibu ninapokaa, sasa jamaa sio mkaaji wa hapa kwa mwezi mara 3 anakuja au mara 6, sasa tukawa na mazoea mazoea na huyu x, sahiv mazoea yamekuwa nikiwa na nguo zangu ananifulia Nina miezi 2 sasa sifui nguo ananifulia yeye, kama msosi sijala namcheki ananiandalia napiga fresh tuh [emoji1][emoji41].
Mazoea hivo ya kawaida namm sitaki kupiga tena ibaki tuh mazoea, japo nikiamua haitokuwa kazi sana.
Sasa juzi bwana kaja sijui umbea kapata wapi kwamba ananifuliaga sometime msosi napiga naona kabisa hali haiko shwari, nataka nikate mawasiliano nae kabisa, au mnanishaurije wakuu?
Anza kula wake za watu then ukamatwe ndo utaelewaAfirw3 ndio kusemaje?
Gentleman, hawa vijana wanapenda kubomolewa vinyeo.bana hapo hapo ili uje kukamatwa right handed vizuri na huyo bwanake, ndio sasa muache wizi vizuri.
majambazi ya ngono makubwa nyie alaaa!!!🐒
Mme wangu unanitamanisha.... natamani unifumanie afu unifiRAnza kula wake za watu then ukamatwe ndo utaelewa
njoo getoNachukia Mvua Wallah
unajua saivi wengi wanasingizia utekaji lakini kumbe ni matokeo ya uhuni na madharau kama haya.Gentleman, hawa vijana wanapenda kubomolewa vinyeo.
Mwenye mali akikukamata anapandisha hasira kisha hogo lake linazidi kuvimba kwa ghadhabu, matokeo yake anakushenyenta mtaro.
Tujihadhari sana Gentleman
Kuna nini huko ghetto?njoo geto
Maana yake unaendelea kufichwa?Anza kula wake za watu then ukamatwe ndo utaelewa
utaliwa kizazi shauli yako...🤣Nashangaa watu Wana hasira balaa