Tuwe objective kidogo, kwenye muziki huwa halibaki ombwe au wengine wanasema pengo, mmoja akipoa mwingine anaibuka na kuitumia hiyo nafasi. Kupoa kwa Aslay ni faida kwa Mbosso! Japo Mbosso sio mkali ila ndio hivyo kakuta nafasi acha aitumie... Aslay ni kama vile ubunifu umefika ukomo, hawezi kubadirika badirika na kiukweli game la bongo usipokuwa na ladha tofauti tofauti, utachokwa tu! Mbosso hawezi kufika mbali kwa kuwa nae somo la kubadirika amefeli.
Kwenye hiyo list yupo pia muimba kaswida almaarufu kwa jina la Lavalava.. WCB wanaoibeba ni Mondi, Harmonize na Rayvanny, hawa wengine wanabebwa na wataendelea kubebwa saaaaana