Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,469
- 12,391
Kwa sasa mboso anakimbiza na ngoma yake ya Nipepee noma sana....dogo anajua sana sema kuna mambo madogo madogo anahitaji abadilike asije akazoeleka mapema na kuwafanya mashabikiwakakinai muziki wake kama walivyomkinai Aslay na staili yake ile ile ya kuimba kama anaongea....