Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
pole mkongwe mwenzanguWazima jamani, mie mwanachama wa zamani humu naona mazingira yananizingua vibaya, forum imekuwa ya kisasa sielewi nazunguka muda mrefu duuh!
Karibu sana kwa upya.Wazima jamani, mie mwanachama wa zamani humu naona mazingira yananizingua vibaya, forum imekuwa ya kisasa sielewi nazunguka muda mrefu duuh!
hahahahahahahahahahaha😀mamaaaa nafwaaaaa, haya mtanijuza polepole ngoja nifanye ziara na mkongojo wangu