Naona nimezeeka

Naona nimezeeka

Wazima jamani, mie mwanachama wa zamani humu naona mazingira yananizingua vibaya, forum imekuwa ya kisasa sielewi nazunguka muda mrefu duuh!
Karibu sana kwa upya.

Kuna mtu humu aliwahi kukuulizia kule MMU, nikimkumbuka nitamtag huku akuone umekuja upya
 
Utabadilika tu taratibu na kuwa new version
 
Back
Top Bottom