Naona nimpe sunspension kama ya mwezi hivi

We jamaa acha upuuzi wa kuja kijiliza hapa. Possibly hizi story zako ni chai tu.
Kwani huyo mwanamke umezaliwa naye, nyie wanaume wa Dar es salaam wapumbuvu sana.
Kumradhi ashakum si matusi
 
mi hata nisingekuja kufungua uzi tayari angekuwa keshapata tiba yake!. maisha sio lele mama kuna muda mtu lazima ujibane tu!.
hakuna tajiri ambae alianza kutafuta mwenyewe na akawa hana nidhamu ya pesa,pesa inahitaji nidhamu kubwa mno na shughuli huwa hainzii kwenye kuitunza tu,ukishaitunza kuna kitu kinaitwa kuizalisha hichi bila maarifa pesa inateketea kama unavyoteketeza kipande cha gogo kwa moto wa kiberiti!..

ndio maana watu walipigania utajiri wao ukiuteketeza lazima nao wakuteketeze!!.
pesa ni jasho,uvumilivu, nidhamu na akili vikikosa hivyo sahau kitu kinaitwa utajiri hata upewe billions utaiteketeza kama bata mrafi anaekula mayai yake mwenyewe!.
 
Endelea kumuendekeza.

Ishi kwa kujiangalia wewe na siyo yeye.

Wewe ukiwa sawa inatosha. Kama anataka hiyo ya 60 mwambie aongeze 10 itimie na kama hana asikusumbue kichwa.

Mwanamke siyo ndugu yako na usilete mazoea kabisa na mwanamke.

Mpe utaratibu wako kama hawezi aondoke akaishi maisha anayoyataka kwa hela zake.

Acha kujitesa kisa mwanamke.
 
We jamaa acha upuuzi wa kuja kijiliza hapa. Possibly hizi story zako ni chai tu.
Kwani huyo mwanamke umezaliwa naye, nyie wanaume wa Dar es salaam wapumbuvu sana.
Kumradhi ashakum si matusi
Wala sio chai tangu mwaka juzi anateswa na demu
 
Kama haelekei kila unalomwelekeza mwache aende huenda kidogo akajifunza uhalisia wa Life akiwa mbali na wewe,
Hawa viumbe sometime wanahitaji uoneshe ubabe kinyume na hapo shekhe wangu wanakuzeesha
 
Vijana "wakataa ndoa" wakiona hii tumekwisha
 
Mkuu huyo mpenda vya kuiga atakusumbua sana, fanya maamuzi sahihi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…