Naona sasa uchawa umezidi hapa nchini. Nashauri serikali ya CCM ianze kugawa tuzo za machawa

Naona sasa uchawa umezidi hapa nchini. Nashauri serikali ya CCM ianze kugawa tuzo za machawa

-ArkadHill

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2023
Posts
845
Reaction score
1,501
Kulikua na haja gani mheshimiwa chawa kuvaa nguo ya aina hii?

Screenshot_20250302_130812_Instagram.png


Hakika Anko Magu alituingiza choo cha kike.
 
Kulikua na haja gani mheshimiwa chawa kuvaa nguo ya aina hii?

View attachment 3255672

Hakika Anko Magu alituingiza choo cha kike.
Mleta mada una kiwango duni sana cha uelewa wa mambo

Mtu ambae ni waziri wa Serikali, mteule na muwakilishi wa Raisi unamuita chawa..!??

Ulitaka hapo avae kombat za Chadema au

Nashangaa sana Pascal Mayala kumualika Tundu Lissu awe anasoma soma JF, yaani awe anaingia kusoma takataka kama hizi za mleta mada
 
Mleta mada una kiwango duni sana cha uelewa wa mambo

Mtu ambae ni waziri wa Serikali, mteule na muwakilishi wa Raisi unamuita chawa..!??

Ulitaka hapo avae kombat za Chadema au

Nashangaa sana Pascal Mayala kumualika Tundu Lissu awe anasoma soma JF, yaani awe anaingia kusoma takataka kama hizi za mleta mada
Kweli hii inchi wajinga tupo wengi sana
 
Back
Top Bottom