-ArkadHill
JF-Expert Member
- Nov 1, 2023
- 845
- 1,501
Huyu naye ni chawa PromaxKulikua na haja gani mheshimiwa chawa kuvaa nguo ya aina hii?
View attachment 3255672
Hakika Anko Magu alituingiza choo cha kike.
Chawa mkuu wa machawaHuyu naye ni chawa Promax
Mleta mada una kiwango duni sana cha uelewa wa mamboKulikua na haja gani mheshimiwa chawa kuvaa nguo ya aina hii?
View attachment 3255672
Hakika Anko Magu alituingiza choo cha kike.
Kweli umeingia choo Cha kike, yaani hapo wewe umeona Magu?Kulikua na haja gani mheshimiwa chawa kuvaa nguo ya aina hii?
View attachment 3255672
Hakika Anko Magu alituingiza choo cha kike.
Kweli hii inchi wajinga tupo wengi sanaMleta mada una kiwango duni sana cha uelewa wa mambo
Mtu ambae ni waziri wa Serikali, mteule na muwakilishi wa Raisi unamuita chawa..!??
Ulitaka hapo avae kombat za Chadema au
Nashangaa sana Pascal Mayala kumualika Tundu Lissu awe anasoma soma JF, yaani awe anaingia kusoma takataka kama hizi za mleta mada