demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Nionavyo tu!
Kusimamisha Ligi( Kusimamisha baadhi ya michezo ya LigiKuu) hasa ya Simba SC na Yanga Sc ili kupisha ombi la Klabu ya Afrika Kusini (Ambao ni Mabingwa wa Afrika) si uungwana kabisa..
Inaonyesha ni jinsi gani tunashindwa kuthamini vya kwetu humu ndani!. Yaani tunashindwa kuwa wazalendo wa vyakwetu kwa malengo ya kuendekeza Jambo ambalo kimsingi halina tija wala umuhimu wowote!
Kuna tetesi kuwa eti wanakuja kwa ajili ya Kampeni ya kupinga Mauaji ya Tembo. (Hiki ni kisingizio cha kipuuzi mno). Kwani sisi tunashindwa nini kutumia hiyo Kampeni kwenye mechi za ligi ?
Nawaza: eti sikumoja itatokea Bingwa wowote yule wa LigiKuu aende Afrika kusini na kusimamisha Ligi ili bingwa huyo wa Bongo aweze kucheza mechi na Kaizer Chiefs na Orlando Pirate.(kwa kisingizio cha Kupiga vita suala fulani).
Nawaasa viongozi wa hivi vilabu kutupilia mbali hili Ombi: Hakuna sababu ya kutengua mlolongo waratiba ili kupisha sulala lisilo la msingi.
Nawaomba pia viongozi wangu wa Vinara wa LigiKuu Bara, Mabingwa watetezi, Mabingwa wa kihistoria wa Tanzania, Dar es salaam Young Afrika Sports Club wazingatie ratiba muhimu iliyo mbele yamashindano na kupuuza kufuata matakwa yasiyo ya Msingi kwa Klabu yetu pendwa.
Mamelodi Sundowns to face Yanga and Simba in friendlies
nawasilisha!
Kusimamisha Ligi( Kusimamisha baadhi ya michezo ya LigiKuu) hasa ya Simba SC na Yanga Sc ili kupisha ombi la Klabu ya Afrika Kusini (Ambao ni Mabingwa wa Afrika) si uungwana kabisa..
Inaonyesha ni jinsi gani tunashindwa kuthamini vya kwetu humu ndani!. Yaani tunashindwa kuwa wazalendo wa vyakwetu kwa malengo ya kuendekeza Jambo ambalo kimsingi halina tija wala umuhimu wowote!
Kuna tetesi kuwa eti wanakuja kwa ajili ya Kampeni ya kupinga Mauaji ya Tembo. (Hiki ni kisingizio cha kipuuzi mno). Kwani sisi tunashindwa nini kutumia hiyo Kampeni kwenye mechi za ligi ?
Nawaza: eti sikumoja itatokea Bingwa wowote yule wa LigiKuu aende Afrika kusini na kusimamisha Ligi ili bingwa huyo wa Bongo aweze kucheza mechi na Kaizer Chiefs na Orlando Pirate.(kwa kisingizio cha Kupiga vita suala fulani).
Nawaasa viongozi wa hivi vilabu kutupilia mbali hili Ombi: Hakuna sababu ya kutengua mlolongo waratiba ili kupisha sulala lisilo la msingi.
Nawaomba pia viongozi wangu wa Vinara wa LigiKuu Bara, Mabingwa watetezi, Mabingwa wa kihistoria wa Tanzania, Dar es salaam Young Afrika Sports Club wazingatie ratiba muhimu iliyo mbele yamashindano na kupuuza kufuata matakwa yasiyo ya Msingi kwa Klabu yetu pendwa.
Mamelodi Sundowns to face Yanga and Simba in friendlies
nawasilisha!