Naona tukio la kishirikiana waziwazi, hali hii inanitisha sana

Naona tukio la kishirikiana waziwazi, hali hii inanitisha sana

mwanyaluke

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2015
Posts
704
Reaction score
2,435
Ipo hivi, kuna sehemu nimetoka kununua uwanja almost miezi kama miwili sasa.

Kinachoshangaza na kuanza kuingia na hofu ni hili tukio, kuna sehemu nikifika gari inapungua nguvu automatic na kuzima muda mwingine, mara ya kwanza nikawa na hofu kuwa huenda ni driving yangu mbovu tu na kuzarau eneo, lakini mbona ni tambarare, nimerudi siku ya pili gari ikazingua tena na wakati huo huo pesa ninazokuwa nazo mfukoni zinapungua shilingi elfu kumi tu. Wiki iliyopita nimepita na pikipiki, the same story pikipiki inapungua nguvu hadi gia namba Moja haisukumi na wakati huo huo nilikuwa na kama laki najikuta Nina elfu tisini. Nikaona labda nilijichanganya Jana nimeenda na Lori na nikiwa na milioni Moja nimelipa mafundi nikabakiwa na elfu hamsini tu.

Tumefika pale gari imekosa nguvu na hadi ukipiga kaseja inapata tabu sana, sikuwaza sana kuhusu pesa Leo naamka naona Kuna elfu arobain najiuliza nimetumia wapi sina majibu. Pia nimeona pulling za gari nyingine pale zinasota hatari , nimeona howo linatema hadi unamhurumia

Hakuna kitu naogopa kama ushirikina sababu nahisi utanipelekea kufanya ujinga tu hebu fikiria nikapige magoti kwa mganga wa kienyeji nianze kumueleza shida zangu kwa kweli sitaki kabisa, aniambie kaue ,kamwage dawa ukiwa uchi, kabake, kachije aisee staki.
 
Ipo hivi ,Kuna sehemu nimetoka kununua uwanja almost miezi kama miwili sasa. Kinachoshangaza na kuanza kuingia na hofu ni hili tukio, Kuna sehemu nikifika gari inapungua nguvu automatic na kuzima muda mwingine, mara ya kwanza nikawa na hofu kuwa huenda ni driving yangu mbovu tu na kuzarau eneo, lakini mbona ni tambarare, nimerudi siku ya pili gari ikazingua Tena na wakati huo huo pesa ninazokuwa nazo mfunoni zinapunguwa shilingi elfu kumi tu. .... Wiki iliyopita nimepita na pikipiki, the same story pikipiki inapungua nguvu hadi gia namba Moja haisukumi na wakati huo huo nilikuwa na kama laki najikuta Nina elfu tisini . Nikaona labda nilijichanganya Jana nimeenda na Lori na nikiwa na milioni Moja nimelipa mafundi nikabakiwa na elfu hamsini tu ,. Tumefika pale gari imekosa nguvu na hadi ukipiga kaseja inapata tabu sana , sikuwaza sana kuhusu pesa Leo naamka naona Kuna elfu arobain najiuliza nimetumia wapi Sina majibu. Hakuna kitu naogopa kama ushirikina sababu nahisi utanipelekea kufanya ujinga tu hebu fikiria nikapige magoti kwa mganga wa kienyeji nianze kumueleza shida zangu kwa Kweli Sitaki kabisa
Unajenga wapi mkuu nijibu chap kabla rara ree hajanipa likes
 
Ipo hivi, kuna sehemu nimetoka kununua uwanja almost miezi kama miwili sasa.

Kinachoshangaza na kuanza kuingia na hofu ni hili tukio, kuna sehemu nikifika gari inapungua nguvu automatic na kuzima muda mwingine, mara ya kwanza nikawa na hofu kuwa huenda ni driving yangu mbovu tu na kuzarau eneo, lakini mbona ni tambarare, nimerudi siku ya pili gari ikazingua tena na wakati huo huo pesa ninazokuwa nazo mfukoni zinapungua shilingi elfu kumi tu. Wiki iliyopita nimepita na pikipiki, the same story pikipiki inapungua nguvu hadi gia namba Moja haisukumi na wakati huo huo nilikuwa na kama laki najikuta Nina elfu tisini. Nikaona labda nilijichanganya Jana nimeenda na Lori na nikiwa na milioni Moja nimelipa mafundi nikabakiwa na elfu hamsini tu.

Tumefika pale gari imekosa nguvu na hadi ukipiga kaseja inapata tabu sana, sikuwaza sana kuhusu pesa Leo naamka naona Kuna elfu arobain najiuliza nimetumia wapi sina majibu.

Hakuna kitu naogopa kama ushirikina sababu nahisi utanipelekea kufanya ujinga tu hebu fikiria nikapige magoti kwa mganga wa kienyeji nianze kumueleza shida zangu kwa kweli sitaki kabisa, aniambie kakae uchi, kabake, kachine aisee staki.
Hamna kitu ni akili yako imependa kufikiri hivyo ukifika eneo hilo automatically inaswitch uwone hivyo ili ubongo na mwili uendelee kupata hizo hisia na kuboost zaidi hiyo imani yako potofu ndio maana inakuwa hivyo na itaendelea hivyo mpaka siku ile utaona ni ujinga kuwaza hivyo na pia ukishaona ni ujinga kuyapa kipaumbele mawazo hayo kichwani basi hutaona tena hivo unavoviona sasa ,ubongo wa binadamu ni wa ajabu sana mwanamke anaweza akawazia ujauzito na ubongo wake ukampa dalili zote za ujauzito hadi tumbo kuwa kubwa halafu mwishowe akajifungua upepo hamna kitu nenda kagoogle pseudocyesis ili kuelewa power ya brain .
 
Kwanini usitafute maelezo ya kisayansi yanayoweza kuthibitika kuhusu kupungua kwa nguvu ya gari (kama kweli yapungua) badala ya kuhitimisha tu kihisia kuwa ni uchawi?
 
Ipo hivi, kuna sehemu nimetoka kununua uwanja almost miezi kama miwili sasa.

Kinachoshangaza na kuanza kuingia na hofu ni hili tukio, kuna sehemu nikifika gari inapungua nguvu automatic na kuzima muda mwingine, mara ya kwanza nikawa na hofu kuwa huenda ni driving yangu mbovu tu na kuzarau eneo, lakini mbona ni tambarare, nimerudi siku ya pili gari ikazingua tena na wakati huo huo pesa ninazokuwa nazo mfukoni zinapungua shilingi elfu kumi tu. Wiki iliyopita nimepita na pikipiki, the same story pikipiki inapungua nguvu hadi gia namba Moja haisukumi na wakati huo huo nilikuwa na kama laki najikuta Nina elfu tisini. Nikaona labda nilijichanganya Jana nimeenda na Lori na nikiwa na milioni Moja nimelipa mafundi nikabakiwa na elfu hamsini tu.

Tumefika pale gari imekosa nguvu na hadi ukipiga kaseja inapata tabu sana, sikuwaza sana kuhusu pesa Leo naamka naona Kuna elfu arobain najiuliza nimetumia wapi sina majibu. Pia nimeona pulling za gari nyingine pale zinasota hatari , nimeona howo linatema hadi unamhurumia

Hakuna kitu naogopa kama ushirikina sababu nahisi utanipelekea kufanya ujinga tu hebu fikiria nikapige magoti kwa mganga wa kienyeji nianze kumueleza shida zangu kwa kweli sitaki kabisa, aniambie kakae uchi, kabake, kachije aisee staki.
ushirikina unapenda sana watu waoga kama wewe, aise unawafurahisha na wanakufurahia sana dah! wamepata mnyonge wao 🐒

actually,
utapata tabu sana usipojivika ujasiri kwa kuambatana na kuandamana na uwepo wa Mungu ndani yako, na kujitenga na hofu dhidi ya nguvu dhaifu sana kama ushirikina 🐒
 
Ipo hivi, kuna sehemu nimetoka kununua uwanja almost miezi kama miwili sasa.

Kinachoshangaza na kuanza kuingia na hofu ni hili tukio, kuna sehemu nikifika gari inapungua nguvu automatic na kuzima muda mwingine, mara ya kwanza nikawa na hofu kuwa huenda ni driving yangu mbovu tu na kuzarau eneo, lakini mbona ni tambarare, nimerudi siku ya pili gari ikazingua tena na wakati huo huo pesa ninazokuwa nazo mfukoni zinapungua shilingi elfu kumi tu. Wiki iliyopita nimepita na pikipiki, the same story pikipiki inapungua nguvu hadi gia namba Moja haisukumi na wakati huo huo nilikuwa na kama laki najikuta Nina elfu tisini. Nikaona labda nilijichanganya Jana nimeenda na Lori na nikiwa na milioni Moja nimelipa mafundi nikabakiwa na elfu hamsini tu.

Tumefika pale gari imekosa nguvu na hadi ukipiga kaseja inapata tabu sana, sikuwaza sana kuhusu pesa Leo naamka naona Kuna elfu arobain najiuliza nimetumia wapi sina majibu. Pia nimeona pulling za gari nyingine pale zinasota hatari , nimeona howo linatema hadi unamhurumia

Hakuna kitu naogopa kama ushirikina sababu nahisi utanipelekea kufanya ujinga tu hebu fikiria nikapige magoti kwa mganga wa kienyeji nianze kumueleza shida zangu kwa kweli sitaki kabisa, aniambie kaue ,kamwage dawa ukiwa uchi, kabake, kachije aisee staki.
Ongea vizuri na mshana
 
Ipo hivi, kuna sehemu nimetoka kununua uwanja almost miezi kama miwili sasa.

Kinachoshangaza na kuanza kuingia na hofu ni hili tukio, kuna sehemu nikifika gari inapungua nguvu automatic na kuzima muda mwingine, mara ya kwanza nikawa na hofu kuwa huenda ni driving yangu mbovu tu na kuzarau eneo, lakini mbona ni tambarare, nimerudi siku ya pili gari ikazingua tena na wakati huo huo pesa ninazokuwa nazo mfukoni zinapungua shilingi elfu kumi tu. Wiki iliyopita nimepita na pikipiki, the same story pikipiki inapungua nguvu hadi gia namba Moja haisukumi na wakati huo huo nilikuwa na kama laki najikuta Nina elfu tisini. Nikaona labda nilijichanganya Jana nimeenda na Lori na nikiwa na milioni Moja nimelipa mafundi nikabakiwa na elfu hamsini tu.

Tumefika pale gari imekosa nguvu na hadi ukipiga kaseja inapata tabu sana, sikuwaza sana kuhusu pesa Leo naamka naona Kuna elfu arobain najiuliza nimetumia wapi sina majibu. Pia nimeona pulling za gari nyingine pale zinasota hatari , nimeona howo linatema hadi unamhurumia

Hakuna kitu naogopa kama ushirikina sababu nahisi utanipelekea kufanya ujinga tu hebu fikiria nikapige magoti kwa mganga wa kienyeji nianze kumueleza shida zangu kwa kweli sitaki kabisa, aniambie kaue ,kamwage dawa ukiwa uchi, kabake, kachije aisee staki.
Hamna kitu kichwa chako ndo kimejipanga hivo manaake uchawi uko kichwani mwako, ni wewe kuupuzia au kuendekeza.
 
Na maelezo ya kisayansi kuhusu kupungua misimbazi yake yanasemaje?
Amini hakuna pesa yake unapotea, ila kwa kuwa ameshajijengea dhana ya ushirikina kichwani, ata-attribute kila kitu huko.
Aweke records za pesa zake vizuri.. Hakuna pesa inavanish tu.

Au la, aende huko bila hela kisha aone kama chochote kitapungua.
 
Back
Top Bottom