Naona wafanyakazi wa bandari na wajanja wenzao wa kupiga Dili, pumzi inskaribi kukataa.

Naona wafanyakazi wa bandari na wajanja wenzao wa kupiga Dili, pumzi inskaribi kukataa.

deblabant

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2022
Posts
2,650
Reaction score
4,065
Wamejaribu kutumia kila kete kunusulu ulaji wao lakini wapi! Mama Yuko strong kwenye uwekezaji Huwa hayumbishwi kabisa.

Wamejaribu kumtumi Shivji akahit lkini upepo umeshakata.

Wamemtumi slaa naye kaenda na maji.

Wamewatumia lisu na viongozi wa dini hasa zile dini kubwa zinazopitisha magendo au bidhaa bandarini free of charge lakini nao hawajaambulia kitu.

Mama shukila hapohapo wale influencers wao wanadondoka mmoja baada ya mwingine.


Ninachompendea mama, demokrasia imeshamili sana kiasi ambacho akina lisu wanamtukana lakini wanapewa ulinzi wa polisi kwenye mikutano Yao ingekuwa enzi zile za jpm angeshakufa mtu tayari.
 
Mbona huu ni mwanzo tu .

Mtaua wengi sana awamu hii.
 
Mbona unajipa moyo kama mtoto mdogo? Acha kujitekenya na kucheka mwenyewe.
 
Kwa hali ilivyo nakubali kabisa mwanamke ni mwanamke tu, kazi yake ni kupika ugali na kuogesha watoto, inawezekana ameuza bandari hela wamechukua kina kitilo makumbo na madellu pasi ye kupata chochote.
 
Hiki siyo kipindi Cha jpm ambaye alikuwa anaua kila anayedhani ni threat kwake. We si unaona rais anatukanwa na kila kichaa lakini hafanywi lolote. Mama mkomavu siyo lile jamaa kishamba la chato
Mama anatukanwa hadi na Wakenya huko Twitter, tena matusi ya nguoni, lakini kawapuuza.

Huo ukomavu wa kisiasa sijawahi kuuona kwa kiongozi yeyote wa Bara hili la Waafrika.

Mimi sio chawa ila hapo Kudos Samia.
 
Mama anatukanwa hadi na Wakenya huko Twitter tena matusi ya nguoni lakini kawapuuza

Huo ukomavu wa kisiasa sijawahi kuuona kwa kiongozi yeyote wa Bara hili la Waafrika.

Mimi sio chawa ila hapo Kudos Samia.
Ukishughulika na kila anayekubwekea njiani,utachelewa safari yako.
 
Humtakii mema huyo mamako. Ngoja akaze shingo awajue wenye nchi.

Bandari haiuzwi
 
Humtakii mema huyo mamako. Ngoja akaze shingo awajue wenye nchi.

Bandari haiuzwi
Nyimbo ya kuuza bandari imeshachuja ilikuwa nyimbo ya kumchafulia image tu ila wananchi eameshajua ukweli
 
Back
Top Bottom