P Pantosha JF-Expert Member Joined Sep 22, 2022 Posts 640 Reaction score 958 May 1, 2024 #1 Inawezekana je huduma za msingi(basic) kama maji, dawa, umeme, barabara vikakosekana na walio na jukumu hilo wanaona poa tu? Binafsi nashindwa kuelewa.
Inawezekana je huduma za msingi(basic) kama maji, dawa, umeme, barabara vikakosekana na walio na jukumu hilo wanaona poa tu? Binafsi nashindwa kuelewa.
Azarel JF-Expert Member Joined Aug 25, 2016 Posts 28,916 Reaction score 40,479 May 1, 2024 #2 Watu weusi wengi ni Wajinga, Hawapendani, Hawatakiani, wana asili ya Uvivu wa kutumia akili....sio Wabunifu wala Wagunduzi...ni Watumiaji wa vifaa vilivyogunduliwa na watu wa races zingine kama Wazungu, Wajapan na Wachina na ni Waharibifu
Watu weusi wengi ni Wajinga, Hawapendani, Hawatakiani, wana asili ya Uvivu wa kutumia akili....sio Wabunifu wala Wagunduzi...ni Watumiaji wa vifaa vilivyogunduliwa na watu wa races zingine kama Wazungu, Wajapan na Wachina na ni Waharibifu