yuda75
JF-Expert Member
- Aug 16, 2020
- 520
- 1,385
Naona wote wanapiga tu chenga watuambie sisi vijana tunapataje ajira au tunajiajirije wakati mikopo kwa ujasiriamali kupata vigezo ni vingi pia riba kubwa
Watuambie wananchi wa kipato cha chini wanaishije, watuambie kuhusu afya na mazingira rafiki ya kibiashara yako wapi.
Si kutupa shuhuda za kupigwa risasi au shuhuda za kuongeza ndege na kuzunguka na wasanii, tumechoka shuhuda za maneno mengi wenye vyeo washibe maskini walie.
We are tired
Watuambie wananchi wa kipato cha chini wanaishije, watuambie kuhusu afya na mazingira rafiki ya kibiashara yako wapi.
Si kutupa shuhuda za kupigwa risasi au shuhuda za kuongeza ndege na kuzunguka na wasanii, tumechoka shuhuda za maneno mengi wenye vyeo washibe maskini walie.
We are tired