Naona Yanga wamekimbilia kwa watoto yatima kujinusuru na Kimbunga Ateba kesho

Naona Yanga wamekimbilia kwa watoto yatima kujinusuru na Kimbunga Ateba kesho

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Mpaka unaona wamekimbilia kutoa Masada kwa yatima ujue ngoma imekuwa ngumu kwao, walikuwa wanatufunga bila kusaidia yatima kwa sababu walikuwa wanapewa ishu zetu, ngoma imebadilika mganga wao kawaambia njia pekee ya kujinusuru na kuwasaidia watoto yatima.

Kesho ima faima łazima heshima irudi ili mjue kuwa sisi hatuna utani na ujinga wa namna hiyo.

Kila la heri mnyama
 
Mpaka unaona wamekimbilia kutoa Masada kwa yatima ujue ngoma imekuwa ngumu kwao, walikuwa wanatufunga bila kusaidia yatima kwa sababu walikuwa wanapewa ishu zetu, ngoma imebadilika mganga wao kawaambia njia pekee ya kujinusuru na kuwasaidia watoto yatima.

Kesho ima faima łazima heshima irudi ili mjue kuwa sisi hatuna utani na ujinga wa namna hiyo.

Kila la heri mnyama
Mbona wamekuwa wakifanya haya makafara sana.
 
Mpaka unaona wamekimbilia kutoa Masada kwa yatima ujue ngoma imekuwa ngumu kwao, walikuwa wanatufunga bila kusaidia yatima kwa sababu walikuwa wanapewa ishu zetu, ngoma imebadilika mganga wao kawaambia njia pekee ya kujinusuru na kuwasaidia watoto yatima.

Kesho ima faima łazima heshima irudi ili mjue kuwa sisi hatuna utani na ujinga wa namna hiyo.

Kila la heri mnyama
Utoto raha sana.
 
Mpaka unaona wamekimbilia kutoa Masada kwa yatima ujue ngoma imekuwa ngumu kwao, walikuwa wanatufunga bila kusaidia yatima kwa sababu walikuwa wanapewa ishu zetu, ngoma imebadilika mganga wao kawaambia njia pekee ya kujinusuru na kuwasaidia watoto yatima.

Kesho ima faima łazima heshima irudi ili mjue kuwa sisi hatuna utani na ujinga wa namna hiyo.

Kila la heri mnyama
Simba kelele nyingiiii kama nzi wa chooni ,utadhani ana ujuzi wa kuzalisha walau nta ama masega wachilia mbali asali
 
Mpaka unaona wamekimbilia kutoa Masada kwa yatima ujue ngoma imekuwa ngumu kwao, walikuwa wanatufunga bila kusaidia yatima kwa sababu walikuwa wanapewa ishu zetu, ngoma imebadilika mganga wao kawaambia njia pekee ya kujinusuru na kuwasaidia watoto yatima.

Kesho ima faima łazima heshima irudi ili mjue kuwa sisi hatuna utani na ujinga wa namna hiyo.

Kila la heri mnyama
Nyie Simba mtakuwa na akili lini, mnawaza uchawi muda wote. Jitu zima linabeza watu kutoa msaada kwa wahitaji. Mipira inafanya watu kuwa wajinga kiasi hiki.
 
Mpaka unaona wamekimbilia kutoa Masada kwa yatima ujue ngoma imekuwa ngumu kwao, walikuwa wanatufunga bila kusaidia yatima kwa sababu walikuwa wanapewa ishu zetu, ngoma imebadilika mganga wao kawaambia njia pekee ya kujinusuru na kuwasaidia watoto yatima.

Kesho ima faima łazima heshima irudi ili mjue kuwa sisi hatuna utani na ujinga wa namna hiyo.

Kila la heri mnyama
sio kweli!wamekua na utamaduni huo mwaka wa nne sasa!!
 
Back
Top Bottom