Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Mpaka unaona wamekimbilia kutoa Masada kwa yatima ujue ngoma imekuwa ngumu kwao, walikuwa wanatufunga bila kusaidia yatima kwa sababu walikuwa wanapewa ishu zetu, ngoma imebadilika mganga wao kawaambia njia pekee ya kujinusuru na kuwasaidia watoto yatima.
Kesho ima faima łazima heshima irudi ili mjue kuwa sisi hatuna utani na ujinga wa namna hiyo.
Kila la heri mnyama
Kesho ima faima łazima heshima irudi ili mjue kuwa sisi hatuna utani na ujinga wa namna hiyo.
Kila la heri mnyama