Right Way In Light
JF-Expert Member
- Jul 27, 2024
- 1,322
- 3,461
Mvua imepiga kigamboni , kazi kwisha Yanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ikawaje sasa wenzetu Mikia FC.Mpaka unaona wamekimbilia kutoa Masada kwa yatima ujue ngoma imekuwa ngumu kwao, walikuwa wanatufunga bila kusaidia yatima kwa sababu walikuwa wanapewa ishu zetu, ngoma imebadilika mganga wao kawaambia njia pekee ya kujinusuru na kuwasaidia watoto yatima.
Kesho ima faima łazima heshima irudi ili mjue kuwa sisi hatuna utani na ujinga wa namna hiyo.
Kila la heri mnyama
Hii ilikuwa ni tarehe 18/10/2024, siku moja kabla ya mechi ambayo mliendeleza uteja siyo!!!Mpaka unaona wamekimbilia kutoa Masada kwa yatima ujue ngoma imekuwa ngumu kwao, walikuwa wanatufunga bila kusaidia yatima kwa sababu walikuwa wanapewa ishu zetu, ngoma imebadilika mganga wao kawaambia njia pekee ya kujinusuru na kuwasaidia watoto yatima.
Kesho ima faima łazima heshima irudi ili mjue kuwa sisi hatuna utani na ujinga wa namna hiyo.
Kila la heri mnyama