Naondoka na Slaa kampeni ya CHADEMA Asilia!

Nitatembea na LOWASSA mpaka mwisho!
Mkuu karibu sana kwenye safari ya UHAKIKA ya ukombozi wa mara ya pili wa TAIFA letu.Lakini nakuomba nikukumbushe kuwa inakubidi sasa ubadiri hadi profile picture yako maana haifanani na ITIKADI mpya za huku ugenini kwako,yote kwa yote karibu sana KAMANDA.!
 
Dr slaa mwenyewe anajua umuhimu wa kasamee
Wajerumani waliwauwa wayahudi lkn leo hii wajerumani na wayahudi wanashikiana kila sectar

CDM haijajengwa na mtu mmoja hata siku moja. Walianza kina Mtei Kimesera Makani Ndesamburo kwa wakati wao na bdo ilikua imara haikuwahi kutetereka. Ikaja zama za Aman kabourou Zitto kwa wakati wake. Kwa sasa Mbowe Slaa Mnyika Msigwa Lissu Wenje Sugu Basil Lema nk nao wanajitahidi kwa wakati wa sasa. CDM ni taasis sio mtu.
 
ccm haita toka madarakani maana naona kila mtu ana angalia tumbo lake.
 

Chadema iliyoweza kushika serikali za mitaa ni Chadema chini ya katibu mkuu Slaa.
 
FAM fala sana.

........Akawakunjisha na ngumi vijana wa watu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…