nawashangaa wanaponda uno wanasikiliza nyegeziSiku nzima nilikua nasikiliza UNO. Hajakosea
uno imeshakuwa wimbo wa taifa sheikyahayaNikimtazama harmonize naona kama hana muda mrefu sana tutamsahau. Nawashangaa sana hata wanaosema anaweza chukua nafasi ya Ali Kiba.
Harmo nje ya wcb ni kama samaki nje ya maji.
[emoji23]umewaza kama mimi mkuuHarmonize ni fagio la chuma ipo siku Diamond atasainishwa mkataba kwenye label ya Harmonize
Ngwangwalu, mbona harmonize hana wimbo wa kipuuzi kama ulivyoandika.Sina shaka ule wimbo aliouimba tena wa Ngwangwalu, Jiwe anatamani uwe wimbo wa Taifa!
uzuri wako wewe mchele tunakujuaYani huyu badala ya kwenda na kua star kimataifa anarudi kua underground. Uno n mbaya sna[emoji34]
asipoangalia harmonize anaweza asitoe nyimbo kali kuzidi unoUno ni best since harmonize leaves from wcb
Nyimbo nzuri sana
usikute wewe ni demu wa harmorapaNyimbo ni mbaya waze tafkiri ya harmorapa nundu
Ule wimbo upo fresh.
Tujifunze kukubali vitu vizuri na kusema kwa dhati pale anapokosea.
Uno ameimba vizuri.
ameshatosha kuwaimbia CCM sahivi ametoa nyimbo kwajiri ya mashabiki wake wapenda starehe hauwezi kupiga matatizo na atarudi disco au never give upNimeshangaa kwa kweli Harmonizer kuimba nyimbo isiyo na maadili namna hii. Nimezoea nyimbo zake sina meseji nzuri. By the way nilipoona UNO nilijua Numero Uno. Nikajua ina ujumbe wa kuwa number one. Kumbe upuuzi mtupu. This is not Harmonizer I knew.
Acha pombe kijana...Harmonize ni fagio la chuma ipo siku Diamond atasainishwa mkataba kwenye label ya Harmonize
ahahahahaha nyimbo hata haipigwi imebuma.usikute wewe ni demu wa harmorapa
mchambuzi wa muziki wa harmonize uwe wewe takatakaAcha kulinganisha Lupela na takataka , Niseme Tu ukweli kwenye utunzi Alikiba Hana mpinzan sema ndo hvyo Mwamba Hana jitihada kabisa , kuhusu Harmonize Mond ndo alikuwa anamshaur Ngoma ipi arelease kulingana na soko, sa hv atapuyanga sana
hata hivyo hawezi kukupatia ajira chakaramu kama weweDua zangu ni azid kuporomoka mpaka abadili kazi labda afungue mgahawan
We fala nnmchambuzi wa muziki wa harmonize uwe wewe takataka
Kwakua tupo wote sishangai mwenza na umeandika mwenyew hakuna haja ya kuku jibuuzuri wako wewe mchele tunakujua
koma we Moyo wangu haikuwa nyimbo ya kawaidaManeno kama haya yaliwahi kusemwa kwa DIAMOND alivyoondoka kwenye lebel ya SHAROBARO RECORDS na kuachia ngoma yake ya kwanza ya MOYO WANGU kila mtu aliona ndo anguko la Diamond na wengi walishauri bora arudi kwa bob juniour.... Ila mpaka sasa kijana anafanya vizuri zaidi ya hapo awali.
Kwa upande wa HARMONIZE naona kijana apewe muda ni mapema mno kutabiri yatakayotokea kwenye mziki wake nje ya WCB.
'Future impossible tense'Harmonize ni fagio la chuma ipo siku Diamond atasainishwa mkataba kwenye label ya Harmonize