Naongea na wewe Jembe ni Jembe meneja mpya wa Harmonize

Naongea na wewe Jembe ni Jembe meneja mpya wa Harmonize

Huyu meneja mpya na yeye anataka kupiga zake asepe tu. Jina lenyewe tu hilo la kipapaa, "Wapi papaa Jembe ni Jembe, mutu ya pesa ndefu".
Hawa watu wanaojifanya wana pesa ndefu Town ukiwashobokea lazima wakupige.
Jembe ni Jembe ni kirusi
 
Wimbo uko 1 on trending huko YouTube lakini hapa wanaomchukia konde boy wanakuja kusema trending or viewers wengi haimanishi wimbo ni mkali..
Ila wao wakitoa wimbo ukawa 1 on trending na kua viewers weng basi wanaamini wimbo wao ni mkali sana
trending ni lazma sabab kwa sasa mwenye wimbo mpya ni yeye peke yake na anatumia nguvu nyingi mnoo kuupromote,anafata views had nairobi na kampala... kaz anayo mwaka huu
 
Watu mmekosa kazi, we una uhakika jembe ndo kamshauri harmonize na sio the other way around?
Huna hela kaa chini utulie, maskini hua mna shida sana, badala ya ku-mind shida zenu mnafuatiliia ya watu usiku kucha, seriously man go find something to do achana na mambo ya wengine.
Wewe tajiri unafanya nn huku?? Mtu km ww unasema hv af ukute hauna hata mchongo wa laki 🖕🏾🖕🏾
 
Nimeshangaa kwa kweli Harmonizer kuimba nyimbo isiyo na maadili namna hii. Nimezoea nyimbo zake sina meseji nzuri. By the way nilipoona UNO nilijua Numero Uno. Nikajua ina ujumbe wa kuwa number one. Kumbe upuuzi mtupu. This is not Harmonizer I knew.
mmmmh maadili..?
Kwan maadili ni nini...?
kwan nyimbo ngapi za harmonize zinamaadili unayoyaongelea
okey naona tatizo INABANA pamoja na KUINAMA kote AKATEKWA hayo mengine cjui yamekuje
 
trending ni lazma sabab kwa sasa mwenye wimbo mpya ni yeye peke yake na anatumia nguvu nyingi mnoo kuupromote,anafata views had nairobi na kampala... kaz anayo mwaka huu
Mimi naona ndiyo vizuri anajibrand hawezi akarelax wakati ile backup haipo acha apambane akifanikiwa naye asaidie wengine
 
Misukule Ya Domo.

Siku Zote Kwao Msanii Aliye Nje Ya WCB Hawezi Kutoa Wimbo Mzuri.

Na Kila Msanii Anaeonekana Kuweka Juhudi Za Kutishia Ufalme Wa Mtu Wao, Watamponda Humu Balaa!

Waliaoza Na,

Darassa

Aslay

Mavoko


Sasa Harmonize

Misukule Ya Domo Haina Akili
 
Dua zangu ni azid kuporomoka mpaka abadili kazi labda afungue mgahawan
 
Tafadhali sana umemkuta Harmonize akiwa kwenye peak na nyimbo zake very hot,uendeleze walipoishia WCB na azidi kupaa zaidi,chagueni ngoma kali za kurelease, lakini kwa mwendo huu wa nyimbo mbovu anazotoa siku hizi kama huu mpya "UNO" lawama zote zitarudi kwako we jembe kwa kumshauri vibaya mmakonde wa watu.,ni hayo tu!!
vya maaana katoka kuviimba kwenye never givr up na atarudi na matatizo unataka nini sahivi ametoa ngoma kwajiri ya ku party.
 
Back
Top Bottom