DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,382
- 29,639
You drive me crazyooooooAiseee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You drive me crazyooooooAiseee
Kidume utabebwa vp?nalea watu km 20 hivi nani anibebe mi nabeba bwege wwMbona wewe hujabebwa
Kalagha baoI love being around other men who talk about business and ideas... not other people.
Acha kulinganisha Lupela na takataka , Niseme Tu ukweli kwenye utunzi Alikiba Hana mpinzan sema ndo hvyo Mwamba Hana jitihada kabisa , kuhusu Harmonize Mond ndo alikuwa anamshaur Ngoma ipi arelease kulingana na soko, sa hv atapuyanga sanaKwa kweli bora lupela ya Ali kiba lakin sio hili ya uno hapana kabisa
Jembe ni Jembe ni kirusiHuyu meneja mpya na yeye anataka kupiga zake asepe tu. Jina lenyewe tu hilo la kipapaa, "Wapi papaa Jembe ni Jembe, mutu ya pesa ndefu".
Hawa watu wanaojifanya wana pesa ndefu Town ukiwashobokea lazima wakupige.
trending ni lazma sabab kwa sasa mwenye wimbo mpya ni yeye peke yake na anatumia nguvu nyingi mnoo kuupromote,anafata views had nairobi na kampala... kaz anayo mwaka huuWimbo uko 1 on trending huko YouTube lakini hapa wanaomchukia konde boy wanakuja kusema trending or viewers wengi haimanishi wimbo ni mkali..
Ila wao wakitoa wimbo ukawa 1 on trending na kua viewers weng basi wanaamini wimbo wao ni mkali sana
Wewe tajiri unafanya nn huku?? Mtu km ww unasema hv af ukute hauna hata mchongo wa laki 🖕🏾🖕🏾Watu mmekosa kazi, we una uhakika jembe ndo kamshauri harmonize na sio the other way around?
Huna hela kaa chini utulie, maskini hua mna shida sana, badala ya ku-mind shida zenu mnafuatiliia ya watu usiku kucha, seriously man go find something to do achana na mambo ya wengine.
Hata hivyo me nkisikiliza UNO inanijia CHUCHUMA Kuanzia the way beat ilivyopigwa na jamaa alivyotembelea beatIko Hivi, Harmo wimbo wowote atakao toa sahivi watu watakua wana compare na enzi akiwa WCB.
Hapo ndio Tatizo.
mmmmh maadili..?Nimeshangaa kwa kweli Harmonizer kuimba nyimbo isiyo na maadili namna hii. Nimezoea nyimbo zake sina meseji nzuri. By the way nilipoona UNO nilijua Numero Uno. Nikajua ina ujumbe wa kuwa number one. Kumbe upuuzi mtupu. This is not Harmonizer I knew.
Mimi naona ndiyo vizuri anajibrand hawezi akarelax wakati ile backup haipo acha apambane akifanikiwa naye asaidie wenginetrending ni lazma sabab kwa sasa mwenye wimbo mpya ni yeye peke yake na anatumia nguvu nyingi mnoo kuupromote,anafata views had nairobi na kampala... kaz anayo mwaka huu
vya maaana katoka kuviimba kwenye never givr up na atarudi na matatizo unataka nini sahivi ametoa ngoma kwajiri ya ku party.Tafadhali sana umemkuta Harmonize akiwa kwenye peak na nyimbo zake very hot,uendeleze walipoishia WCB na azidi kupaa zaidi,chagueni ngoma kali za kurelease, lakini kwa mwendo huu wa nyimbo mbovu anazotoa siku hizi kama huu mpya "UNO" lawama zote zitarudi kwako we jembe kwa kumshauri vibaya mmakonde wa watu.,ni hayo tu!!
bisandra upoLeo niliwaambia jamaa zangu, promo aliyoifanya nikategemea Ilo UNO litakuwa dude hasa kumbe wapi.