proton pump
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 6,814
- 10,104
Ukisikia popo bawa ndio huyo, waone wachungaji au masheikh wakumalizie hiyo shida.Hiyo afadhali ndugu yangu anaota anashughulikiwa nyuma ni wakiume na anahistoria ya kukaa gerezani...kaniomba ushauri
Lala usingizi mzuri usijisumbue na ndoto, hakuna jambo baya linalokuja mbele yakoAsante
Tumia chumvi ya mawe kila siku kwa kuiogea na kuichoma. Hutokaa utokewe na maluwe luwe hayoMarehemu hana mke wala mtoto na katika maisha yake akiwa hai mimi nilikua tegemezi wake na nilijitahidi Kwa Kila kitu.