Naota nafanya mapenzi na mpenzi wangu aliyeko mbali karibia kila siku, je hili ni tatizo?

C.Thady

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2015
Posts
589
Reaction score
154
Naota nafanya mapenz na mpenz wangu aliyeko mbali karibia kila siku je hili ni tatizo?
 
Usije kuwa unagegeda jini ukidhani unaota...
 
sio tatizo, kuna shida gani kuota wakati unampenda
 
kama unakuta umechafua shuka kila siku? basi kwa wale wanaoamini jini mahaba watakawambia jini bahaba akakukula
 
Uwiiii hiyo ni mbaya aiseeee

Kuna jamaa uliwahi mtokea, asubuhi anakua kachoka, na mabao kibao kwenye boxer... Akaenda kwa Local Doctor, ndo akagundua alikua anamgegeda mother house..!! Hehee, alihama..
 
Bold
ufafanuzi tasavali ?

ni hivi ukifanya mapenzi na mtu bila kuwa tayari that means umeliwa... ila mkifanya kwa kuwa tayari wote mnakulana.....

ukimfanya mtu bila yeye kukubali ni kumla.
 
Kuna jamaa uliwahi mtokea, asubuhi anakua kachoka, na mabao kibao kwenye boxer... Akaenda kwa Local Doctor, ndo akagundua alikua anamgegeda mother house..!! Hehee, alihama..

Aiseeee humu duniani kuna mambo ya ajabu sana
 
Kuna jamaa uliwahi mtokea, asubuhi anakua kachoka, na mabao kibao kwenye boxer... Akaenda kwa Local Doctor, ndo akagundua alikua anamgegeda mother house..!! Hehee, alihama..
Mmmh,,,,,,,Hilo si balaa aisee.
 
Uzuri umetangaza leo harudi ataenda kwa wakwanza kusikia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…