House4Rent Napangisha chumba Mwenge DSM near TRA

House4Rent Napangisha chumba Mwenge DSM near TRA

Tunzo

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2013
Posts
4,082
Reaction score
2,402
Chumba kipo mwenge, near TRA, bei ni 50,000 kwa mwezi, ni kuzuri sana, uzio upo, usalama wa kutosha, ukubwa wa chumba ni wakiasi, ni kidogo kwa vingine ndio mana ni 50k, so hakihitaji mtu mwenye vitu vingi sana, kwa maelezo nichek kwa 0684448888, sms calls, whatsap zitajibiwa,
NB, Hiki hakina udalali mm ndio mmiliki, kama utaamua kucheki nyumba/vyumba vingine, maeneo ya Dar usisite kunichek
 
Last edited:
Chumba kipo mwenge, near TRA, bei ni 50,000 kwa mwezi, ni kuzuri sana, uzio upo, usalama wa kutosha, kwa maelezo nichek kwa 0684448888, sms calls, whatsap zitajibiwa

Bro Mwenge Near TRA kuna maghorofa ya jeshi. Kwa chini kuna kibarabara cha kwenda kwa Idd Mwenye Duka. We unamaanisha wapi? au kwao Ally Kipaso
 
Bro Mwenge Near TRA kuna maghorofa ya jeshi. Kwa chini kuna kibarabara cha kwenda kwa Idd Mwenye Duka. We unamaanisha wapi? au kwao Ally Kipaso
Ni opposite na hilo gorofa linalojengwa
 
wewe dalali au? una chumba kimoja mwenge, kivipi? this sounds like crazy, sorry about that!!
 
Chumba kipo mwenge, near TRA, bei ni 50,000 kwa mwezi, ni kuzuri sana, uzio upo, usalama wa kutosha, kwa maelezo nichek kwa 0684448888, sms calls, whatsap zitajibiwa
kodi ya miezi mi3 vp utapokea?
 
wewe dalali au? una chumba kimoja mwenge, kivipi? this sounds like crazy, sorry about that!!
Ndio mm ni dalali,nitakudalalia nyumba zingine kama utahitaji nyumba zingine, ila hii ni ya kwangu, mm ndio mmiliki,
 
Back
Top Bottom