Baraka sheni
JF-Expert Member
- Jan 5, 2015
- 471
- 197
Vp mkuu ni hpo kwa fundi wa mabenzi au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JF kuna madalali tutaibiwa sasaNdio mm ni dalali,nitakudalalia nyumba zingine kama utahitaji nyumba zingine, ila hii ni ya kwangu, mm ndio mmiliki,
Unasema wewe sio Dalali ilhali wakati huo huo utangaza kuwa kama mtu anahitaji chumba/nyumba maeneo ya Dar asisite kukuchek !!!Chumba kipo mwenge, near TRA, bei ni 50,000 kwa mwezi, ni kuzuri sana, uzio upo, usalama wa kutosha, ukubwa wa chumba ni wakiasi, ni kidogo kwa vingine ndio mana ni 50k, so hakihitaji mtu mwenye vitu vingi sana, kwa maelezo nichek kwa 0684448888, sms calls, whatsap zitajibiwa,
NB, Hiki hakina udalali mm ndio mmiliki, kama utaamua kucheki nyumba/vyumba vingine, maeneo ya Dar usisite kunichek
Kwa kila mtu ni lazima aelewe hicho Kiswahili chenu ?Soma vizuri mkuu utaelewa, labda kama kiswahili ni kigumu kwako