Napangisha nyumba na vyumba maeneo mbalimbali nchini

politicians

Senior Member
Joined
Apr 8, 2018
Posts
154
Reaction score
124
Habari, nyumba inapangishwa mwanza maeneo ya Butimba mtaa wa Amani,ina chumba kimoja na sebule, maji na umeme ni Tsh.60000/= kwa mwezi. Yaani kwa miezi sita ni Tsh 360000/= tu.

Ipo ndani ya fensi usalama upo wa kutosha, mawasiliano tuma txt au piga 0687234549.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…