amu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 16,132
- 31,149
Tokea march hadi leo vyumba vipo?Vyumba bado vipo wadau!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tokea march hadi leo vyumba vipo?Vyumba bado vipo wadau!
😂😂Tokea march hadi leo vyumba vipo?
Anaombwa walau picha hajali ...akapange vyote si poa tu[emoji23][emoji23]
Sasa kama bandiko lake halina ushawishi unategemea nini
Kama hamna wapangaji, badilisheni mfumo wa Vyumba uwe self za Room moja moja, zitatoka fasta kwa kodi ya 40-50Vyumba bado vipo wadau!
Kama uko serious mkuu nipigie uje uone nyumba
Miezi 6 mkuu.
Ndio vyumba bado vipoTokea march hadi leo vyumba vipo?
Unahitaji ushawishi gani?,kama mtu yupo serious atakuja kuona nyumba mwenyewe,asilimia kubwa picha huwa hazina uhalisia kwa sababu inategemea uwezo wa camera.😂😂
Sasa kama bandiko lake halina ushawishi unategemea nini
Sasa mkuu unakaza kichwa tu hapa, mtu anaanzaje kufunga safari kuja kuona nyumba wakati una uwezo wa kuweka picha hapa kila mtu akaona hata jinsi nyumba ilivyo(hata kama haina uhalisia kama unavyodai japo siamini hili) akiridhika ndo aje kuona ili kujihakikishia kuliko kupoteza muda kuja huko af akute nyumba haielewekiUnahitaji ushawishi gani?,kama mtu yupo serious atakuja kuona nyumba mwenyewe,asilimia kubwa picha huwa hazina uhalisia kwa sababu inategemea uwezo wa camera.
Lala mwenyewe, unaambiwa weka picha huelewiVyumba bado vipo wadau!
Bugando au karibu na hao vipo?vyumba bado vipo wadau wa mwanza
tucheki mkuu kwa mawasiliano yetu hapo juuBugando au karibu na hao vipo?