Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana. Hupaswi kurudisha passport kwani passport ni hati yako ya kusafiria, hata kama husafiri unaweza kuiweka hadi siku utakaopata safari. Passport ni kwaajili ya kwenda popote pale. Inakutambulisha tu wewe ni nani na raia wa nchi gani. Ni tofauti na visa ambayo inakupa uhalali wa kuingia katika nchi fulani kwa kusudi fulani kama vile kutalii, kusoma, biashara, n.k. Visa inabandikwa kwenye passport. Unaweza kuwa na passport usiwe na visa, ila huwezi kuwa na visa bila passport.Kuna wakati nilipata nafasi ya masomo nje. Nikatafuta passport. Mwishowe nikashindwa kwenda masomoni kwa sababu Fulani.
Kama utaratibu kuwa na sababu ya kusafiri ndo upewe, hainibidi kuwarudishia? Maana sikusafiri. Just thinking loudly.
Ahsantee kwa Somo.Hapana. Hupaswi kurudisha passport kwani passport ni hati yako ya kusafiria, hata kama husafiri unaweza kuiweka hadi siku utakaopata safari. Passport ni kwaajili ya kwenda popote pale. Inakutambulisha tu wewe ni nani na raia wa nchi gani. Ni tofauti na visa ambayo inakupa uhalali wa kuingia katika nchi fulani kwa kusudi fulani kama vile kutalii, kusoma, biashara, n.k. Visa inabandikwa kwenye passport. Unaweza kuwa na passport usiwe na visa, ila huwezi kuwa na visa bila passport.
Wewe ni mkewe?Ilete nitakutunzia.
Wanawake bwana mnayafahamu sana majukumu yenu.Wewe ni mkewe?
Kuna wakati nilipata nafasi ya masomo nje. Nikatafuta passport. Mwishowe nikashindwa kwenda masomoni kwa sababu Fulani.
Kama utaratibu kuwa na sababu ya kusafiri ndo upewe, hainibidi kuwarudishia? Maana sikusafiri. Just thinking loudly.
Sina tena sababu ya kuwa nayo as per their directives 😂Kwamba unaitaka 150k yako sio?
Passport sio kitambulisho cha taifa ile ni kitambulisho cha kimataifa na kukipata ni lazima uwe na sababu ya kuvuka mpaka wa nchi kwenda nje, kuna watu hawana mpango wa kusafiri nje sasa unampa kitambulisho sasa hivi cha nini, siku atakayopata sababu ya kusafiri basi ataomba na atapata hata iwe dharura passport kwa hali ya dharura kama matibabu zinatolewa haraka sana ndani ya saa 24 tu. Katika hili nawaunga mkono uhamiaji wasitoe passport bila sababu ya safari.Ile ya kusema kuwa lazima uwe na safari ndio uombe passport ni kuthibiti uwingi wa waombaji. Kila mtu anatakiwa kuwa nayo kwa safari ya dharura. Mfano umeumwa ghafla na unatakiwa kwenda matibabu nje ya nchi. So pasi ya kusafiria ni haki ya kila raia, awe na safari kwa Sasa au asiwe nayo
Sina tena sababu ya kuwa nayo as per their directives 😂
Saa 24 kwenye ugonjwa ni nyingi sana. Kila MTU ana haki ya kuwa nayo. Dunia ni kijiji siku hiziPassport sio kitambulisho cha taifa ile ni kitambulisho cha kimataifa na kukipata ni lazima uwe na sababu ya kuvuka mpaka wa nchi kwenda nje, kuna watu hawana mpango wa kusafiri nje sasa unampa kitambulisho sasa hivi cha nini, siku atakayopata sababu ya kusafiri basi ataomba na atapata hata iwe dharura passport kwa hali ya dharura kama matibabu zinatolewa haraka sana ndani ya saa 24 tu. Katika hili nawaunga mkono uhamiaji wasitoe passport bila sababu ya safari.
Hata hiyo rufaa ya hospitali mpaka kukamilika na kupewa documents ni masaa mengi tu wala usiweke kichaka cha muda hapo.Saa 24 kwenye ugonjwa ni nyingi sana. Kila MTU ana haki ya kuwa nayo. Dunia ni kijiji siku hizi
Kuna wakati nilipata nafasi ya masomo nje. Nikatafuta passport. Mwishowe nikashindwa kwenda masomoni kwa sababu Fulani.
Kama utaratibu kuwa na sababu ya kusafiri ndo upewe, hainibidi kuwarudishia? Maana sikusafiri. Just thinking loudly.
aaaa hapana. Nilimaanisha vigezo vya kuipata ni vya kimchongo wakati ukiipata hakuna ufuatiliaji tenaKwamba unaitaka 150k yako sio?
Sasa mbona masharti kibao kuipata ilihali ukiishaipata hakuna uthibitisho wowote wa kama ulifanya ulichoombeaIli serikali wa ifanyie nn