Napata changamoto ya kupata loss report

Napata changamoto ya kupata loss report

MATEO GODFREY

Member
Joined
Apr 7, 2014
Posts
36
Reaction score
56
Wakuu nimekuwa nikihangaikia ishu ya kusajiri loss report na kulipia kupitia control number niliopata wakati wa kusajiri naona bado inaniletea ujumbe kuwa haijathibitishwa na nizaidi ya masaa mawili sasa hivyo nashindwa kuprint hiyo report.

Vipi kuna cha ziada ninawezafanya hapo au ndio mpaka nisubiri.
 
Back
Top Bottom