Napata choo laini sana, tatizo ni nini?

Napata choo laini sana, tatizo ni nini?

Duuu jamaa mchafu kinomaa hadi kinyaa kusoma[emoji54]
Yawezekana unakula vyakula laini sana ndo maana inachangia kupata choo kilaini....shukuru Mungu wengine wanapata constipation hadi anachukia choo .
 
Yaelekea unakula mboga za majani na matunda kwa wing I sana, punguza.
 
Labda kwa kuwa unakula sana bata! Jaribu kubadili kitoweo kula mbuzi, ukijisaidia wala huna haja ya kuchamba...
 
Habari zenu madakitari mliopo hapa jf doctor...
Naomba mnisaidie,kwa muda sasa napata choo kama bata vile yaani kama una harisha lakini siyo,nakunya choo kinatawanyika badala ya kufyatua makimba kama zamani.
Nakumbuka zamani mtu unafyatua pyaaa...huna haja ya kuchamba lakini siku hizi hali ni tofauti huwezi kunya bila kuchamba tena maji yawe mengi.
JE KUNA TATIZO GANI HAPA???
Daa!!pole sana mkuu huo ugonjwa mmbaya sana vipi uliwahi kula dawa za safura au minyoo siku au miezi ga hivi karibuni??
 
Back
Top Bottom