kingkongtz
JF-Expert Member
- Dec 28, 2019
- 1,058
- 3,613
shukran bossJaribu kula maparachichi na mapapai!
Ikishindikana piga juice ya ukwaju u flash matumbo kabisa hata mbegu za mlonge ukitafuna zinasaidia
boss hapo kwenye kukaa na msuli masaa 6 unaweza nifafanuliaNenda duka la dawa lolote, nunua laxatives, e.g Castor oil, unywe, utatoa uchafu wote ila ukae na msuli masaa kama 6 hv, alafu uje ushukuru JF.
Nakazia. Kuna dawa nyingi tu zinauzwa pharmacy na tena hazihitaji cheti cha dr. Unakunywa kilingana na unavyotaka kuharisha au kupata choo. Ukitaka kupata choo kilaini unakunywa kidogo, na ukitaka kuharisha sana unakunywa nyingi. Kuna hii: Polyethylene glycol-electrolyte solution. Dukani zinauzwa zikiwa na branda name tofauti tofauti, lakini ukimwambia muuzaji unataka hii atajua. Ni ya unga na unaweka kwenye maji halafu unakunywa.Nenda duka la dawa lolote, nunua laxatives, e.g Castor oil, unywe, utatoa uchafu wote ila ukae na msuli masaa kama 6 hv, alafu uje ushukuru JF.
Utakuwa unaharisha mara kwa mara, tupa suruali au bukta mbali kaa karibu na choo, huelewi msuli… wale mafuska wanajua msuli kwa mwanaume ni urahisi wa kutoa tu na kumpandia mwanamke, ila msuli wako ni kwa ajili ya kuharisha, weka suruali na bukta mbaliboss hapo kwenye kukaa na msuli masaa 6 unaweza nifafanulia
Nakazia. Kuna dawa nyingi tu zinauzwa pharmacy na tena hazihitaji cheti cha dr. Unakunywa kilingana na unavyotaka kuharisha au kupata choo. Ukitaka kupata choo kilaini unakunywa kidogo, na ukitaka kuharisha sana unakunywa nyingi. Kuna hii: Polyethylene glycol-electrolyte solution. Dukani zinauzwa zikiwa na branda name tofauti tofauti, lakini ukimwambia muuzaji unataka hii atajua. Ni ya unga na unaweka kwenye maji halafu unakunywa.
Unakuwa unaharisha sana. Ila kuna hiyo niliyoelekeza post iliyopita i.e. Polyethylene glycol-electrolyte solution. Ni nzuri sana na kama ukiipata tumia hiyo. Siyo lazima uharishe kwani inategemea umekunywa kiasi gani. Inakuwa kwenye paketi.boss hapo kwenye kukaa na msuli masaa 6 unaweza nifafanulia
Usidhani ni rahisi kiivo....utakula vyote ila ile ngoma ya kwanza lazima itoke....unachoogopa nikuumia Mkuu.....Fyatua mzigo huo ili Mwingine utoke kiraisishukran boss
[emoji23][emoji23][emoji23]Usidhani ni rahisi kiivo....utakula vyote ila ile ngoma ya kwanza lazima itoke....unachoogopa nikuumia Mkuu.....Fyatua mzigo huo ili Mwingine utoke kiraisi
Chakula kaka.habarini ndugu zangu
sina tatzo la bawasiri wala sina tatzo la kukosa choo ,ni hali imenitokea hivi karibuni
ipo hivi
nilisafiri kwenda burundi siku 3 kabla ya Christmas.
Ni mara yangu ya kwanza kwenda huko,chakula cha kule kiufupi kilinishinda ikawa ni mwendo wa nyamachoma tu na biscuits,hata kunywa maji ilikuw nadra sbb tulipokuw ilikuw porini sana.
sasa toka Christmas hadi leo nmerud Tanzania sijajisaidia yapata siku 4
haja huwa naisikia ila nikienda uani nikichuchumaa wakat nasukuma nasikia kama jiwe na maumivu makali sana,
msaada jamani kwa wenye uzoefu
nalifanyia kaz kiongozNakazia. Kuna dawa nyingi tu zinauzwa pharmacy na tena hazihitaji cheti cha dr. Unakunywa kilingana na unavyotaka kuharisha au kupata choo. Ukitaka kupata choo kilaini unakunywa kidogo, na ukitaka kuharisha sana unakunywa nyingi. Kuna hii: Polyethylene glycol-electrolyte solution. Dukani zinauzwa zikiwa na branda name tofauti tofauti, lakini ukimwambia muuzaji unataka hii atajua. Ni ya unga na unaweka kwenye maji halafu unakunywa.
punguza uvivu wa kunywa maji na matundahabarini ndugu zangu
sina tatzo la bawasiri wala sina tatzo la kukosa choo ,ni hali imenitokea hivi karibuni
ipo hivi
nilisafiri kwenda burundi siku 3 kabla ya Christmas.
Ni mara yangu ya kwanza kwenda huko,chakula cha kule kiufupi kilinishinda ikawa ni mwendo wa nyamachoma tu na biscuits,hata kunywa maji ilikuw nadra sbb tulipokuw ilikuw porini sana.
sasa toka Christmas hadi leo nmerud Tanzania sijajisaidia yapata siku 4
haja huwa naisikia ila nikienda uani nikichuchumaa wakat nasukuma nasikia kama jiwe na maumivu makali sana,
msaada jamani kwa wenye uzoefu
Hahah haukuumia?ndugu zangu nawashukuru sana maoni yenu yamesaidia ,nlienda duka la dawa nikapewa vidonge vidogo vidogo kama 6 nikaambiwa nimeze vyote,baada ya muda kdogo mzgo umeshuka wote
najiskia huru sasa nipo nakunywa maji mengi