Napata faraja sana

Napata faraja sana

martini enock

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2015
Posts
635
Reaction score
274
Mimi ni mgeni jf
Lakini tangu nijiunge jf
Napata faraja sana
Maana jf imebeba mambo mengi sana
Napata elimu ya bure kupitia jf

Hongereni sana Members wote mliomo humu

Hongereni uongozi wa jf [emoji122] [emoji122] [emoji122]

Naomba ushirikiano wenu
 
Mimi ni mgeni jf
Lakini tangu nijiunge jf
Napata faraja sana
Maana jf imebeba mambo mengi sana
Napata elimu ya bure kupitia jf

Hongereni sana Members wote mliomo humu

Hongereni uongozi wa jf [emoji122] [emoji122] [emoji122]

Naomba ushirikiano wenu
Karibu sana
 
Mimi ni mgeni jf
Lakini tangu nijiunge jf
Napata faraja sana
Maana jf imebeba mambo mengi sana
Napata elimu ya bure kupitia jf

Hongereni sana Members wote mliomo humu

Hongereni uongozi wa jf [emoji122] [emoji122] [emoji122]

Naomba ushirikiano wenu
Karibu sana mkuu,

Tatizo la JF ukishaingia huwezi kutoka tena, unaweza kushawishika hata kufungua account mbili tatu.

Kifupi JF ina mlango wa kuingia tu, wa kutoka haupo....
 
Karibu sana mkuu,

Tatizo la JF ukishaingia huwezi kutoka tena, unaweza kushawishika hata kufungua account mbili tatu.

Kifupi JF ina mlango wa kuingia tu, wa kutoka haupo....
Ha ha ha ha ha ha
Yaani hata Mimi napata faraja kubwa
 
Back
Top Bottom