Mchungaji wangu kuniambia ni mapepo hayatoki
Huyo mchungaji wako ninamashaka nae!! Hakuna pepo anayeshindwa kutoka ndani ya Yesu! Usimsingizie mchungaji na unazidi kupata dhambi kwa kumnenea mtumishi wa Mungu uongo. Navyokuona wewe ni mrohoo so nivigumu kuachaa kwa tabia yako ya kupenda ngonoo na ujue magonjwa yapo mlangoni kukupata
Usiniseme vibaya mdau nimekuja kwenu nikiamini nitapata msaada
Kila mtu na kipaji alichopewa bana, ngono ndo kipaji chako make sure unakiendeleza kisipotee
Nimekuwa msomaji kwa muda mrefu bila kuchangia chochote ila nimefaidika na mengi, asanteni sana.
Sasa leo naomba wajuzi mnisaidie kutatua shida yangu hii; napata kiungulia kikali mpaka vichomi kila nimalizapo kufanya sex. Tatizo lingine ni kwamba niko addicted na ngono kiasi kwamba naweza kuahirisha hata safari kisa mwanamke.
Nisaidieni, mwenzenu nateketea.
Mchungaji wangu kuniambia ni mapepo hayatoki