Napata mashaka ya kwamba uisalam ulikuwepo kabla ya Mtume Mohammad japo mimi ni muislamu, Mufti nijuze

Napata mashaka ya kwamba uisalam ulikuwepo kabla ya Mtume Mohammad japo mimi ni muislamu, Mufti nijuze

Rwetembula Hassan Jumah

Senior Member
Joined
Jan 25, 2023
Posts
140
Reaction score
188
Dini na siasa, tena serikali ya shetani na viongozi wa dini wamezama kwenye dimbwi. Halafu kuna hadith pamoja na aya wanatupiga nazo kuwa tuwatii viongozi wetu.

Screenshot_20230420-212747_Chrome.jpg
Screenshot_20230420-212747_Chrome.jpg

Hapa kweli uislamu utarudi mgeni!

Nchi ya Saudia inaongozwa na Sunni (Mtume alikuwa muislamu hakuwa na dhehebu, Iran waislam wengi ni Shia pamoja na Iraq ni Sunn pamoja na Shiah. Uisalam hauna dhehebu tambua hilo!

Dunia nzima hukuna nchi ambayo inatofautiana masaa 12, halafu Saudia Arabia imetangaza mwezi umeonekana Dunia nzima lazima itii, ila Tanzania kila kipengele imefeli.

Fuata njia sahihi na mwongozo kwenye kitabu kitukufu Qur'an ndio maana Mwenyezi kasema someni. Ikrah bisirabika Allha.
 
kama viongozi wa bakwata wametufelisha bas wajue hilo dhima ni lao na Mungu wao, hilo ni baraza maalum kwa ajiili ya waislam kama wao wapo hapo kwa ajili yamatumbo yao bas wana mtihan mkubwa sana wa kujibu
 
Hakuna kisichokuwa na shaka,wengi wetu ni wachanga sana kwenye haya mambo ya dini ni kama tulivyokuwa wadogo wazazi wetu wakitupa adhabu.

Unapewa adhabu kali na mzazi mpaka unajiuliza hivi huyu kweli ni mama au baba yangu aliyenizaa but still tuliwaamini kwamba ni watu sahihi kwetu so hata kwenye hizi dini tunafikia wakati kujiuliza maswali lakini wakati huo huo tunaamini ni njia sahihi kutufikisha kwa muumba.
 
Hawataki uujue ukweli kwa kukutishia kuiwekea viulizo dini ni dhambi, kwamba wewe fuata tu bila kuuliza.ila wewe naona umekiruka hiko kiunzi unaonekana ni mtu ambaye una brain. Kihistoria uislamu ulianza Karne ya sita, kabla ya hapo uislamu haukuwepo na uislamu ulianza baada ya mtume Muhammad kudai kutembelewa na jibril.Kabla ya uislamu jamii ya maqurayshi walikuwa na miungu yao ambayo ndio hata imemlea Muhammad lakini baadae akaigeuka alipokuja na uislamu wake ambao hatujui hata alipouokota .Uislamu ni kitua ambacho hakikuwa na logic kimekuja kusukwasukwa baada ya miaka mingi na bado hakina logic.
 
Dini ni siasa ya kale iliyovishwa joho la utakatifu wa Mungu asiyethibitishika.
 
Mkiambiwa siasa inatawala dini muwe mnaelewa, na hii si kwa uislam pekee, ni dini zote siasa ina regulate mambo ya dini. Ila imani siasa inashindwa kuingilia hapo ni pagumu. Ndio maana dini na ima zinaonekana ziko kitu kimoja na ziko pamoja kumbe ni vitu viwili tofauti ila vina ufanano kiasi cha kuwekwa pamoja. Labda dini na siasa ndio kitu kimoja chenye pande mbili za kutawala maisha ya mwanadamu. Dini na siasa lao moja na shughuli zao zinaishia hapahapa duniani
 
Hakuna kisichokuwa na shaka,wengi wetu ni wachanga sana kwenye haya mambo ya dini ni kama tulivyokuwa wadogo wazazi wetu wakitupa adhabu.

Unapewa adhabu kali na mzazi mpaka unajiuliza hivi huyu kweli ni mama au baba yangu aliyenizaa but still tuliwaamini kwamba ni watu sahihi kwetu so hata kwenye hizi dini tunafikia wakati kujiuliza maswali lakini wakati huo huo tunaamini ni njia sahihi kutufikisha kwa muumba.
Mufti sio njia
 
Ilikuwepo wapi wakati Quran 10:94 anaambiwa wahai alikuwa anashushiwa akishindwa kuelewa awafuate watu wa kitabu( wayahudi na wakristu) waliokuwepo kabla yake? Hivyo Aya hii ni uthibitisho kuwa ukristu na biblia zilikuwepo miaka mingi kabla ya uislam
 
Mtake mtafunga msitake mtafungaa 😀😀 eid ni kesho kutwaa Jmosi
 
Back
Top Bottom