Rwetembula Hassan Jumah
Senior Member
- Jan 25, 2023
- 140
- 188
Embu na wewe kelele unaumwa maburg weweDini ni siasa ya kale iliyovishwa joho la utakatifu wa Mungu asiyethibitishika.
🤣🤣🤣Embu na wewe kelele unaumwa maburg wewe
kuna shekhe nimemwona pale mwenge mida ya saa 12 anatizama juu kama jogoo sijui kama aliokota kitu angani
Mufti sio njiaHakuna kisichokuwa na shaka,wengi wetu ni wachanga sana kwenye haya mambo ya dini ni kama tulivyokuwa wadogo wazazi wetu wakitupa adhabu.
Unapewa adhabu kali na mzazi mpaka unajiuliza hivi huyu kweli ni mama au baba yangu aliyenizaa but still tuliwaamini kwamba ni watu sahihi kwetu so hata kwenye hizi dini tunafikia wakati kujiuliza maswali lakini wakati huo huo tunaamini ni njia sahihi kutufikisha kwa muumba.
mbona unamkemea mwenzako wakati mnaonekana mnafanana kimtazamo juu ya mada hii, kafanyaje mpaka umkemee hivyo?Embu na wewe kelele unaumwa maburg wewe
Huyu ni mchawi sugumbona unamkemea mwenzako wakati mnaonekana mnafanana kimtazamo juu ya mada hii, kafanyaje mpaka umkemee hivyo?