jamani me nakaribiwa kuachwa na mpenzi wangu ananiandaa mad mrefu kwa imani ctachubuka but mwisho wa siku goli mbili tu me nimechubuka na ctaki kuendelea coz napata maumivu makali ikiwa inaingia. huu ni mwaka wa tatu sasa tatizo linaendelea tu. mpaka amifikia mahali ameniambia sasa hamu yake apeleke wapi. naombeni mnisaidie kimawazo nampenda sana mpenzi wangu ctaki aniache.