didy muhenga
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 861
- 1,476
Habarini wakuu naomben msaada kabla sijaenda kusemwa na daktar kibofu kinaniuma, napata mkojo mchafu na maumivu pia wakat wa haja ndogo, natoa kinyes kigumu sana na ninasikia Homa kwa mbali.
Hizi zitakua dalili za nini wakuu?
Hizi zitakua dalili za nini wakuu?