Napata mkojo mchafu pamoja na maumivu, kinyesi kigumu na homa kali, ni dalili ya ugonjwa gani?

Napata mkojo mchafu pamoja na maumivu, kinyesi kigumu na homa kali, ni dalili ya ugonjwa gani?

Habarini wakuu naomben msaada kabla sijaenda kusemwa na daktar kibofu kinaniuma, napata mkojo mchafu na maumivu pia wakat wa haja ndogo, natoa kinyes kigumu sana na ninasikia Homa kwa mbali.

Hizi zitakua dalili za nini wakuu?
Unakunywa maji ya kutosha?
 
Habarini wakuu naomben msaada kabla sijaenda kusemwa na daktar kibofu kinaniuma, napata mkojo mchafu na maumivu pia wakat wa haja ndogo, natoa kinyes kigumu sana na ninasikia Homa kwa mbali.

Hizi zitakua dalili za nini wakuu?
Kapime choo Na mkojo
 
Habarini wakuu naomben msaada kabla sijaenda kusemwa na daktar kibofu kinaniuma, napata mkojo mchafu na maumivu pia wakat wa haja ndogo, natoa kinyes kigumu sana na ninasikia Homa kwa mbali.

Hizi zitakua dalili za nini wakuu?
Jitahidi Kunywa maji mengi itakusaidia
 
Back
Top Bottom