Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakunywa maji ya kutosha?Habarini wakuu naomben msaada kabla sijaenda kusemwa na daktar kibofu kinaniuma, napata mkojo mchafu na maumivu pia wakat wa haja ndogo, natoa kinyes kigumu sana na ninasikia Homa kwa mbali.
Hizi zitakua dalili za nini wakuu?
😅😂 kwamba anapupu kama anazaa, bora mliachana maana hamna mtu humoex aliniambiaga kimba gumu ni zaid ya leba 😁
Kapime choo Na mkojoHabarini wakuu naomben msaada kabla sijaenda kusemwa na daktar kibofu kinaniuma, napata mkojo mchafu na maumivu pia wakat wa haja ndogo, natoa kinyes kigumu sana na ninasikia Homa kwa mbali.
Hizi zitakua dalili za nini wakuu?
Jitahidi Kunywa maji mengi itakusaidiaHabarini wakuu naomben msaada kabla sijaenda kusemwa na daktar kibofu kinaniuma, napata mkojo mchafu na maumivu pia wakat wa haja ndogo, natoa kinyes kigumu sana na ninasikia Homa kwa mbali.
Hizi zitakua dalili za nini wakuu?