Napata ndoto za kutisha baada ya kwenda kwa mganga wa kienyeji

Kwanza naona wote wanakupotosha wewe uliambiwa mila za kwenu ndio chanzo, sasa bila kwenda kumaliza hizo mila hakika hutasimama katika kipato chako. Kwanza jiulize ndoto huwa zinatoka wapi unahitaji ushauri upo gizani. Ndoto ni taarifa kutoka kwa malaika wako Mungu aliokujaalia sasa umeonyeshwa maisha yalivyo Ili utafute ufumbuzi. Hayo mambo ya bibilia hayamsaidii mtu kama umeacha mila na desturi zako
 
Siku ya kwanza ukakuta nyomi
 
Unachoongea ni kweli kabisa lakin kupitia huu Uzi watu wameshamfata dm wengi kumuuliza location ya mtaalamu

Changamoto kubwa ni kanisa haliwezi kutumia ulimwengu wa kiroho kama wa upande wa pili ili kutatua changamoto za wakristo, watu wanaenda na mizigo Yao kanisani na wanarudi nayo kinachofuata ni nin lazima watafute option nyingine

Kanisa na wakristo wafundishwe jinsi ya kutumia damu ya YESU Hilo ndo shuluhisho la kudumu
 
Nadhani kama hudanganyi wewe 'Ulikuwa mtoto Mchanga kiroho'ndiyo maana ulikuwa unachanganya masomo.In maana ulikuwa huna mafundisho ya kutosha ya Neno la Mungu.
Lakini sasa tubu na umrudie Mungu!
 
Well said
 
Nadhani kama hudanganyi wewe 'Ulikuwa mtoto Mchanga kiroho'ndiyo maana ulikuwa unachanganya masomo.In maana ulikuwa huna mafundisho ya kutosha ya Neno la Mungu.
Lakini sasa tubu na umrudie Mungu!
sidhani km Ayubu alikuwa mchanga kiroho alipojaribiwa. sema nimeshindwa kuvuka jaribu langu.
 
Endelea kuroga.....endelea kuroga.....endelea kuroga mpaka kieleweke zaidi ya hapo......

Haya maisha yana Siri nyingi mkuu!!!

Hao hao wachungaji na manabii Wana chale adi mku***ni
 
sidhani km Ayubu alikuwa mchanga kiroho alipojaribiwa. sema nimeshindwa kuvuka jaribu langu.
Sasa Ayubu alienda kwa Waganga wa Kienyeji pamoja na majaribu mazito aliyopitia?
Mtu ambaye amekomaa kiroho anakuwa tayari kwa lo lote hata kufa lakini siyo kuiacha Njia na kumgeukia Shetani hata kama anapita katika majaribu makubwa kiasi gani.Ndiyo mfano wa Ayubu sasa!
 
Reactions: _ly
kusema hivyo ww uliyekomaa kiroho hutendi dhambi?
 
bibi acha kujichanganya, mitishamba ni dawa kimwili na kiroho. si mwiko kuitumia

EZEKIELI 47:12
Na karibu na mto, juu ya ukingo wake, upande huu na upande huu, utamea kila mti wa chakula, ambao majani yake hayatanyauka, wala matunda yake hayatatindika kamwe; utatoa matunda mapya kila mwezi, kwa sababu maji yake yanatoka mahali patakatifu; na matunda yake yatakuwa ni chakula; NA MAJANI YAKE (MTI HUO) YATAKUWA NI DAWA.

MWANZO 1:11-12, 29-31
Kila kilichoumbwa na Mungu kilikuwa ni chema sana. Mungu asingeumba kamwe kitu chochote kibaya. Mungu aliumba mimea ya kila aina mingine ya dawa, chakula na kadhalika.
 
Mambo naomba nipe no ya mganga wako tafadhali mm jina shida ya mahusiano
 
Acha Ujinga ww nenda huko kamalizie Tiba yako na endelea na ibada zako km kawaida Kwan kuna MTU anaekataza kuwa na source mbili za kipato sindo Vizuri hata mlevi wa Bar kwenda kutumia pombe za kienyeji hakuna shida lengo ulewe tu km unaona mabadiliko endelea na usisahau na ibada pia
 
Kama Rc nenda kaabudu pale St Joseph Cathedral utaona ukuu wa Mungu bila pesa wala masharti.
 
Acha upumbavu wewe, Mungu ni mganga wa waganga, hujasoma habri za Daniel..
Kaaa tulia na Mungu wakati wa Mungu ni sahihi, ukimtumkia Mungu kwa uaminifu ni swala la mda tu trust me kabla hujafa utakuwa ushakula sana baraka za Mungu.
 
Mkuu nipe no,ya huyo kalmanzila nimuulizie kitu frani hivi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…