Siku ya kwanza ukakuta nyomiNilijenga msingi mzuri wa imani yangu kwa Mungu, kuwa ndio anayeweza kunitoa kwenye hili dimbwi la kukosa kipato licha ya kugraduate since 2014 hizi digrii yeboyebo. Japokuwa Mungu alinisaidia kupata kazi za mikataba ya muda mfupi lakini mishahara ni ile ikizidi sana ni laki nne, sehemu nyingi niliambulia laki mbili, mpk laki moja kwa mwezi.
Kutokana na majukumu ya kusomesha mtoto na mama yake, kwangu inakuwa ni ngumu kusogea kimaisha. Hivyo muda mwingi ninakuwa kwenye stress ya kipato kidogo na madeni mengi.
Nilijitahidi kuwa muaminifu kwenye fungu la kumi na sadaka, maombi na kujitoa kwa kiwango kizuri kumtumikia Mungu. Nilitegemea nikifanya hayo angalau nut zitaanza kulegea kwenye uchumi, lakini ndio mambo yakazidi kuwa magumu sana.
Madeni yakaongezeka kwa sababu natakiwa nilipe ada ya mtoto na mama yake(nilimpa mimba dent kuepuka mvua 30 ikabidi nibebe jukumu la kusomesha private school. kwa sasa anamalizia six on May)
Mapema February kuna jamaa akanishauri anipeleke mahali nikaangalie kwa nini nakula msoto hivi licha ya bidii ninayowekeza kutafuta noti. Bibi wa kupiga bao akaniambia shida yangu ni ishu za mila za kwetu na NYOTA yangu imechezewa. Hivyo, nikamilishe mambo ya mila then nitafute fundi wa kusafisha nyota.
Nikapata ushuhuda mahali kuwa kuna fundi mzuri wa hayo mambo, kwa buku mbili tu ana darubini za kuona rohoni mwako. Siku ya kwanza nikaenda nikakuta nyomi, nikafanikiwa kumuona nkaeleza shida akaniambia nina nyota ya kutoa tu, ila ya kupokea, kutunza na nyingine nmesahau zimefungwa. Nikapewa dawa ya kuogea baada ya kurudi nyumbani
Usiku wa siku nliyotoka kwake, nikaota kuna mtu ananifukuza na ananitupia mishale mingi. Nilipambana kuikwepa kwa nguvu zangu ikashindikana lakini nikakumbuka kukemea kwa jina la Yesu mrusha mishale akapotea.
Nikarudi kwa doctor siku ya pili kwenda kufanyiwa huduma kuu yenyewe ya kusafishwa nyota. usiku wake tena baada ya kutoka huko nikaota tena kuna nyoka black ananishambulia kwa kunirushia mate ya sumu, nilipambana kwa nguvu zangu lkn alitaka kunizidi nguvu, nkakumbuka kukemea kwa damu ya Yesu ndio akapotea.
Nilimpigia kalmanzila kumueleza kuhusu hizo ndoto, akaniambia nirudi akanipe kinga...mpaka muda sijarudi tena huko
Matokeo baada ya huduma yake, ni kuwa nimepata kazi japo ni ya muda mfupi lakini ina maslahi mazuri na kuna HR wa shirika moja zuri aminiahidi soon kuna neema inatoka kwenye shirika lao nitakuwa front line kwa sababu ni qualifications zote na experience wanayoihitaji.
Naweza kusema angalau naona mabadiliko kwenye suala la kibali tofauti na mwanzoni
Sasa wanajamvii nauliza, nirudi kwa kalmanzila nikamalizie dozi au nikatubu nimrudie Mungu.
Unachoongea ni kweli kabisa lakin kupitia huu Uzi watu wameshamfata dm wengi kumuuliza location ya mtaalamuBiblia inasema, "KUFANIKIWA KWA MPUMBAVU KUTAMUANGAMIZA"
kamwe usikubali Kumsujudia shetani ili upate mali....
Shetani alimuonyesha Yesu milki yote ya Dunia na fahari yake kisha akamuambia "Ukiinama kunisujudia nitakupa"
......itakufaidi nini ukipata utajiri na mali zote za dunia ukamkose Mungu?
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Well saidWewe siyo wa kwanza kupitia Economic crisis Mkuu..
Tatizo hukupata ushauri sahihi matokeo yake ukashauriwa kuziendea njia za giza..
(kumsujudia Shetani)
Itakufaidi nini ukipata milki zote za Dunia halafu ukamkosa Mungu?
Kwa maana Shetani anao uwezo wa kukupa mali...lakini Mwisho wake ni Kifo tena cha Ghafla ili usipate Muda wa kutubu....
Na hiyo Dhambi utaona ni ndogo lakini...itakuandama wewe na uzao wako wote na ni machungu yasiyo na mfano...
Wewe unajiangalia binafsi yako lakini shetani analenga madhara yatakayokuandama vizazi vyako vyote...
Unajisikiaje unaendesha gari, una nyumba, na mali nyingi halafu moyoni mwako unajua wazi Mdhamini wako ni Shetani?
Hili jambo linaumiza nafsi za wengi wanaopata mali kwa njia za uganga na uchawi sema hawasemi...
SHETANI AKIKUKOPESHA UTALIPA, HATA KAMA UTACHELEWA KUDAIWA.
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
sidhani km Ayubu alikuwa mchanga kiroho alipojaribiwa. sema nimeshindwa kuvuka jaribu langu.Nadhani kama hudanganyi wewe 'Ulikuwa mtoto Mchanga kiroho'ndiyo maana ulikuwa unachanganya masomo.In maana ulikuwa huna mafundisho ya kutosha ya Neno la Mungu.
Lakini sasa tubu na umrudie Mungu!
nakubaliana na wewe asilimia nyingi mnoooWote unaowaona wanamafanikio, wana siri zao
Sasa Ayubu alienda kwa Waganga wa Kienyeji pamoja na majaribu mazito aliyopitia?sidhani km Ayubu alikuwa mchanga kiroho alipojaribiwa. sema nimeshindwa kuvuka jaribu langu.
kusema hivyo ww uliyekomaa kiroho hutendi dhambi?Sasa Ayubu alienda kwa Waganga wa Kienyeji pamoja na majaribu mazito aliyopitia?
Mtu ambaye amekomaa kiroho anakuwa tayari kwa lo lote hata kufa lakini siyo kuiacha Njia na kumgeukia Shetani hata kama anapita katika majaribu makubwa kiasi gani.Ndiyo mfano wa Ayubu sasa!
Sijasema kuhusu kutenda dhambi! Hata aliyekomaa kiroho akimpa nafasi Ibilisi mbona anaanguka?kusema hivyo ww uliyekomaa kiroho hutendi dhambi?
bibi acha kujichanganya, mitishamba ni dawa kimwili na kiroho. si mwiko kuitumiaMaathayo 7...
21 Si kila mtu aniambiaye, Bwana, Bwana, atakayeingia katika ufalme wa mbinguni; bali ni yeye afanyaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni.
22 Wengi wataniambia siku ile, Bwana, Bwana, hatukufanya unabii kwa jina lako, na kwa jina lako kutoa pepo, na kwa jina lako kufanya miujiza mingi?
23 Ndipo nitawaambia dhahiri, Sikuwajua ninyi kamwe; ondokeni kwangu, ninyi mtendao maovu.
Mambo naomba nipe no ya mganga wako tafadhali mm jina shida ya mahusianoNilijenga msingi mzuri wa imani yangu kwa Mungu, kuwa ndio anayeweza kunitoa kwenye hili dimbwi la kukosa kipato licha ya kugraduate since 2014 hizi digrii yeboyebo. Japokuwa Mungu alinisaidia kupata kazi za mikataba ya muda mfupi lakini mishahara ni ile ikizidi sana ni laki nne, sehemu nyingi niliambulia laki mbili, mpk laki moja kwa mwezi.
Kutokana na majukumu ya kusomesha mtoto na mama yake, kwangu inakuwa ni ngumu kusogea kimaisha. Hivyo muda mwingi ninakuwa kwenye stress ya kipato kidogo na madeni mengi.
Nilijitahidi kuwa muaminifu kwenye fungu la kumi na sadaka, maombi na kujitoa kwa kiwango kizuri kumtumikia Mungu. Nilitegemea nikifanya hayo angalau nut zitaanza kulegea kwenye uchumi, lakini ndio mambo yakazidi kuwa magumu sana.
Madeni yakaongezeka kwa sababu natakiwa nilipe ada ya mtoto na mama yake(nilimpa mimba dent kuepuka mvua 30 ikabidi nibebe jukumu la kusomesha private school. kwa sasa anamalizia six on May)
Mapema February kuna jamaa akanishauri anipeleke mahali nikaangalie kwa nini nakula msoto hivi licha ya bidii ninayowekeza kutafuta noti. Bibi wa kupiga bao akaniambia shida yangu ni ishu za mila za kwetu na NYOTA yangu imechezewa. Hivyo, nikamilishe mambo ya mila then nitafute fundi wa kusafisha nyota.
Nikapata ushuhuda mahali kuwa kuna fundi mzuri wa hayo mambo, kwa buku mbili tu ana darubini za kuona rohoni mwako. Siku ya kwanza nikaenda nikakuta nyomi, nikafanikiwa kumuona nkaeleza shida akaniambia nina nyota ya kutoa tu, ila ya kupokea, kutunza na nyingine nmesahau zimefungwa. Nikapewa dawa ya kuogea baada ya kurudi nyumbani
Usiku wa siku nliyotoka kwake, nikaota kuna mtu ananifukuza na ananitupia mishale mingi. Nilipambana kuikwepa kwa nguvu zangu ikashindikana lakini nikakumbuka kukemea kwa jina la Yesu mrusha mishale akapotea.
Nikarudi kwa doctor siku ya pili kwenda kufanyiwa huduma kuu yenyewe ya kusafishwa nyota. usiku wake tena baada ya kutoka huko nikaota tena kuna nyoka black ananishambulia kwa kunirushia mate ya sumu, nilipambana kwa nguvu zangu lkn alitaka kunizidi nguvu, nkakumbuka kukemea kwa damu ya Yesu ndio akapotea.
Nilimpigia kalmanzila kumueleza kuhusu hizo ndoto, akaniambia nirudi akanipe kinga...mpaka muda sijarudi tena huko
Matokeo baada ya huduma yake, ni kuwa nimepata kazi japo ni ya muda mfupi lakini ina maslahi mazuri na kuna HR wa shirika moja zuri aminiahidi soon kuna neema inatoka kwenye shirika lao nitakuwa front line kwa sababu ni qualifications zote na experience wanayoihitaji.
Naweza kusema angalau naona mabadiliko kwenye suala la kibali tofauti na mwanzoni
Sasa wanajamvii nauliza, nirudi kwa kalmanzila nikamalizie dozi au nikatubu nimrudie Mungu.
Acha upumbavu wewe, Mungu ni mganga wa waganga, hujasoma habri za Daniel..nifanyeje kiongozi, hawa watu waliweza kuona nyota yangu haijakaa sawa. Kwenye bible kuna vifungu na muongozo mzuri wa kusafisha kibali changu ili mambo yaniendee vizuri. kama ulishawahi pitia maisha ya kukaa mwezi bila kuingiza hata mia utaelewa. efforts zangu haziniletei matunda