Napata ndoto za kutisha baada ya kwenda kwa mganga wa kienyeji

Fanya unachoweza ukisema ufuate ushauri,uta felii Mungu ni, wa ajabu sana anajua unashida lakini hata mia huokoti lakini ukiomba mabaya yanakupata Fasta
 
Sasa si ungeogea tu chumvi ya mawe?
Anyway umeyaanza yamalize na inaonekana una mganga mzuri.
Rudi tu kapigwe kinga maana hiyo vita uliyoanzisha si mchezo.
 
Huu mchanganyo wa giza na nuru haufai....bora kuwa Moto au baridi na sio vuguvugu.
 
nitakuja kutoa mrejesho vita imefikia wapi na nmechagua njia ipi, haya mambo yana wenyewe aisee 👿👹🤕
 
aisee utakufa muda si mrefu au utakuwa chizi. kimbilia kwa Yesu haraka aponye maisha yako. utakuja kunishukuru.tafuta kanisa la watu waliookoka, ukatubu dhambi kwa kumaanisha kuziacha na uokoke ujiunge ktk safari ya wokovu, ukipuuzia shauri yako.
 
Huyo bibi ni wa ukweli sana,uganga wa ndoto ni mzuri,una maadui wanakushambulia mzee,hata Mimi najipanga ntafute 400,000 nikajiswafi,mandugu wanafiki sana,ndugu ndugu ndio wabaya wetu,kula nao,Cheka nao lakini wanakumaliza kimya kimya
 
Huyo bibi ni wa ukweli sana,uganga wa ndoto ni mzuri,una maadui wanakushambulia mzee,hata Mimi najipanga ntafute 400,000 nikajiswafi,mandugu wanafiki sana,ndugu ndugu ndio wabaya wetu,kula nao,Cheka nao lakini wanakumaliza kimya kimya
vya upande wa giza kuvipata ni haraka lkn vina garama huko mbeleni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…