eliakim xavery
Member
- Apr 24, 2015
- 98
- 72
kula sanga karanga mbich waweza roast kavu piaJamani wanaojua zaidi ni dawa au chakula gani ni bora kwa afya ya akili ambacho chaweza kuongeza uwezo wa kumbukumbu na uwezo wa kufikiri?
maana binafisi napata shida kwenye Kumbukumbu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kunywa konyagi mkuuJamani wanaojua zaidi ni dawa au chakula gani ni bora kwa afya ya akili ambacho chaweza kuongeza uwezo wa kumbukumbu na uwezo wa kufikiri?
maana binafisi napata shida kwenye Kumbukumbu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Inaua nguvu ya macho mkuuNunua almond au lozi kula asubuhi na jioni kila siku zinasaidia sana hata kwa wanafunzi
[emoji1] [emoji1] [emoji1]tunaweza kukushauri kumbe ukawa umesahau kama umepost jamii forums