Napata shida sana kwenye swala la kukumbuka nitimie nini?

Napata shida sana kwenye swala la kukumbuka nitimie nini?

Joined
Apr 24, 2015
Posts
98
Reaction score
72
Jamani wanaojua zaidi ni dawa au chakula gani ni bora kwa afya ya akili ambacho chaweza kuongeza uwezo wa kumbukumbu na uwezo wa kufikiri?
maana binafsi napata shida kwenye Kumbukumbu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom