Napata wakati mgumu kukutana na Mke wangu mtarajiwa


.................................................................................................................
KWA KUSOMA MAELEZO YAKO HAPO JUU,
WEWE NI MIONGONI mwa wanaume wasiojiamni kuwa wanaweza
kupendwa wasipokuwa na vitu mkononi mwao, bali wanapendwa kwa vitu walivyonavyo. NI mwanaume usiyejua kutongoza bali unataka kutongozwa na mwanamke. Unapenda utambuliwe na upendwe kwa vitu ulivyonavyo na siyo utambuliwe kwa jinsi ulivyo kama binadamu yeyote mwenye haki ya kutambuliwa na kupendwa.

Na hata ukipata bahati ya kupendwa kwa dhati LAKIN BADO hautaamini kama unapendwa jinsi ulivyo,bali utaamini kuwa unapendwa kwa vitu ulivyonavyo.

Unapenda upendwe,uheshimike,utambulike,uthaminiwe,ujulikane,uhudumiwe kutokana na vitu ulivyonavyo na SIYO KUTOKANA hali ya kuwa wewe ni binadamu na una haki ya kufanyiwa hivyo hata pasipo kuwa na hizo mali zako.

UKIENDELEA KUTOJITAMBUA NA KUJUA THAMANI YAKO YA UANAUME, nina UHAKIKA 100% utapata hasara ya kumpata mwanamke atakayekupenda kwa vitu ulivyonavyo na siyo kukupenda wewe kama mwanaume anayekuhitaji kwa dhati toka ndani ya moyo wako.
Mwanaume anayejua UTHAMANI MKUBWA WA UANAUME WAKE KAMWE HAWEZI,
KUSEMA YOTE HAYO ULIYOYASEMA.

ila HONGERA SANA KWA MAFANIKIO YAKO ULIYOYAPATA KWA HUO MUDA MFUPI ULIONAO...HONGERA SANA ENDELEA KUFANYA KAZI KWA BIDII NA KWA MALENGO ZAIDI.

Pia nashawishika kuamini kuwa muda wa kumpata mwenza haujafika kwako, ukifika tu basi wewe binafsi utapata tu nafasi ya kumtafuta huyo mwenza, haitajalisha upo busy kiasi gani,hata kama utakuwa busy kama pua ya binadamu pindi anapokuwa hai.Ila nakukusisitiza na kukuomba sana JIAMINI /JITAMBUE NA JUA THAMANI YAKO YA UANAUME KWANZA,kwani THAMANI YA MWANAUME NI KUBWA ZAIDI YA HIVYO ULIVYOORODHESHA.....
 

best utajuaje?? acha donge lol na kamshaharakako hapo kwa wahindi!!! wenzio wako bussy we unashinda jamii forum lol!!!
 
Aisee daughter unaonaje ukizionea huruma mbavu zangu?

Nimecheka mpaka laputopu yangu inanishangaa.........:bange::bange:

Ukiachia kingine babu atakuja kukuchapa LOL


ha hahaaaaaa babu tungejuaje kama na ww una laputopu???????? si ndio wale wale!!! acha zako muzeeeeee
 
Mh, asee umetutajia vitu vyote hivyo vya nini?? Au ndo waturingishia kimtindo. Kwa nini usingeenda moja kwa moja kwenye point?? Mda ukifka utapata mwenza.
 

Mzee mbona unapenda matangazo yasiyo na ulazima.
 
ha hahaaaaaa babu tungejuaje kama na ww una laputopu???????? si ndio wale wale!!! acha zako muzeeeeee

Acha hizo bana, umeme umekatika nikaenda kwenye gari yangu kuichukua hii laputopu niliyoinunua Kanada mwezi wa nne.....Afu gari yangu leo air conditioner imegoma kuwaka, nimewapigia TOYOTA wakanambia spea za Landcruiser V8 zitaingia kesho. Napata shida sana meen!
 

teh teh teh!!! uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii mie mbavu zangu jamani babu sitakiiiiiiiiiiiiii usinitekenye.
 
teh teh teh!!! uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii mie mbavu zangu jamani babu sitakiiiiiiiiiiiiii usinitekenye.

Hivi kumbe nimekutekenya? Ngoja nikufinye sasa.
 
mm czan km unahitaji la kiu ukaniambia ukakosa muda wenzio hata wakiwa buzy vp wanatoka oficin sa sita usiku lakn utamkuta kaenda wolrd cinema na huku anafanya mambo yake kama kawa alafu punguza kutembelea usafir binafsi au kama vp pendelea kutembelea sehemu za mikusanyiko kama maconset mbal mbal ukiona vp chukuwa hata likzo ya kuugua siku mbili mbili kwa mwez kaka kama vp ni hayo 2uu
 
Utalipa hela sasa hivi kwa hayo matangazo unayoyafanya humu Jf. Kalipie tbc bana.
 
Skulimeti
Wewe ni Muwazi na Mkweli....Period!
Hommie ile Rolex yangu niliokujanayo kutoka Canada si wameiba leo, halafu pita pale DT dobi kaulizie kama zile Spare za ile V12 zimefika. Tukutane pale Kempisky baadae unipe feadback ntakua na mawziri wawili tunaongelea lile Dili la mabilioni.
 
Hommie ile Rolex yangu niliokujanayo kutoka Canada si wameiba leo, halafu pita pale DT dobi kaulizie kama zile Spare za ile V12 zimefika. Tukutane pale Kempisky baadae unipe feadback ntakua na mawziri wawili tunaongelea lile Dili la mabilioni.
Poa hommie sasa niende na ile BMW au? Manake ile gari nyingine bado iko kwa fundi. Jana walikuwa wanarekebisha zile taa. Zile milioni nane ulizonipa hazikutosha, naenda Standard Chartered kudraw 5m ili nimalizane nao. Usisahau kumtumia yule shamba boy ticket ya ndege...yule mbwa uliyemnunua Moscow anahitaji mtu wa kumtunza...

Utalipa hela sasa hivi kwa hayo matangazo unayoyafanya humu Jf. Kalipie tbc bana.
Unanionea bure bana....ngoja nimalizane na homeboy wangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…