Hahahaha, wivu wa nini bana wkt umeniacha nyumbani? Umeme hakuna LAPTOP imezima! Nilikuwa kazini mpaka sa sita usiku, sijapata mda wa kuicharge, kukutana na mme mtarajiwa yenyewe bado, nakutana na wazungu, wachina wajapani, na hao mimi siwataki. Mh! Deni halijasahaulika babu, c unajua dawa ya deni ni kulipa?Na hii posting Via Mobile unajua inanitia wivu sana?.......halafu unajua nakudai?
Hahahaha, wivu wa nini bana wkt umeniacha nyumbani? Umeme hakuna LAPTOP imezima! Nilikuwa kazini mpaka sa sita usiku, sijapata mda wa kuicharge, kukutana na mme mtarajiwa yenyewe bado, nakutana na wazungu, wachina wajapani, na hao mimi siwataki. Mh! Deni halijasahaulika babu, c unajua dawa ya deni ni kulipa?
Ahahahaaah!! Jamaa kwa kujifagilia!Mzee mbona unapenda matangazo yasiyo na ulazima.
Poa hommie sasa niende na ile BMW au? Manake ile gari nyingine bado iko kwa fundi. Jana walikuwa wanarekebisha zile taa. Zile milioni nane ulizonipa hazikutosha, naenda Standard Chartered kudraw 5m ili nimalizane nao. Usisahau kumtumia yule shamba boy ticket ya ndege...yule mbwa uliyemnunua Moscow anahitaji mtu wa kumtunza...
Unanionea bure bana....ngoja nimalizane na homeboy wangu.
Niamin babu, ntakulipa usiwe na wasi.Na unajua jinsi babu anavyodai?
Nimekugeuzia kibao? Na ukome, we si ndo umeanza kunichekesha?Mbavu zangu jamani babu...hahahahaaaaa
Niamin babu, ntakulipa usiwe na wasi.
ee ila hiyo yako ni noumaaaaaNimekugeuzia kibao? Na ukome, we si ndo umeanza kunichekesha?
:israel::israel::israel::bange::bange::bange:
We! Usithubutu, we unaona bwana harusi mtarajiwa ana 23yrs, hao mabint utawatoa shule au? Huyu asubir akifka 25, ndo aanze kutafuta binti, vinginevyo anataka kutuharibia mabinti zetu. Anataka binti wa umri gani?Jamani msimshambulie hivo., mwenzetu kaamua kutupa detail zake zote ili tumjue in 3D so that ushauri wetu uwe ume-cover angle zote..,
Mkuu., busy gani hiyo? Busy ilikuwa zamani maana watu walikuwa na uhakika wa kutafutiwa wake na wazazi., but if na ww umeingia kwa kundi hilo then waombe wazazi wakusaidie maana kwa maisha unayoishi with Nyumbani-Kazini straight lyf system sidhani kama itatokea..!
Au ka vp niPM nikakufanyie udalali kwa baadhi ya mabinti flani hivi...:A S-baby:
Hahahaha...... yoooote haya umeyaanzisha wewe hapo....sijui unafanya kazi kwa wahindi mshahara laki unusu? Unamwonea wivu dogo wa watu anakula 1m per month na garrrrr yake na digrrrr yake....hahaha...kaaaz kwel kwel.....Sie tusio na kitu mabinti lukuki wa kuoa tunawaona. LOLee ila hiyo yako ni noumaaaaa
ati 'umtumie houseboy tiketi ya ndege ili aje amchunge mbwa aliyenunuliwa moscow'
duh!.........
We! Usithubutu, we unaona bwana harusi mtarajiwa ana 23yrs, hao mabint utawatoa shule au? Huyu asubir akifka 25, ndo aanze kutafuta binti, vinginevyo anataka kutuharibia mabinti zetu. Anataka binti wa umri gani?
Hellow great thinkers,
Mi ni kijana wa ki-Tanzania (kiswahili) 23 yrs old niliyegraduate chuo mwaka jana mambo ya Logistics, I thanks God nilibahatika kupata kazi baada tu ya kumaliza chuo july last year kwenye international logistics company, na mshahara ni one million gross,
kama mnavyojua kwa wanaodeal na shipping na telecommunications industry.
Nikajikuta nikiwa busy vibaya mno na kazi, as u know logistics sometimes unatoka saa 4, sometimes you suppose to work at weekends and public holidays ( japokuwa napata sana hela za overtime na tax allowances), namshukuru mungu kwa hilo.
Sema kazi hii imenifanya nikose muda wa social things ambazo zinaweza kunikutanisha na mke wangu mtarajiwa like going outing, vijiweni, movies, na other social areas, bado still nakaa home kwa wazazi so nikitoka job home.
Nakaa home sababu panajitosheleza na ninataka kuhama nikimaliza my own house na ni first and last born in family,
kazini natumia usafiri binafsi so kukutana kwenye daladala na woman of my life haiwezekani, enzi za chuo na shule nilikuwa somasoma niliyeogopa mahusiano sababu ya concentration kwenye masomo.
Kukutana nae kazini ni ngumu sababu nafanya kazi na wageni esp Wafaransa, China, Ghana na wengineo na sipo tayari kwa hao.
Ukisema kukutana facebook na social network zingine siamini hilo sababu najua ni maigizo yamejaa humo, nisaidieni wapendwa mawazo jinsi ya kukutana na woman of my life sababu naamini now nipo tayari kwa hilo emotionally and financially.
Naomba msaada wa mawazo wana jamii forums wenzangu.
Wewe bado mtoto wa mama ukikua utaacha
Sipendi babu, huyu hahitaji shuga mami cz hela anazo za kutosha. Anahitaji binti wa kuzila hizo pesa na marupurupu. Ana bahati sina mdogo wa kike, ningemtuma akazilete hizo pesa tumalizie kuweka bati kwenye nyumba ya kijijini kwetu.Hahahaha...... yoooote haya umeyaanzisha wewe hapo....sijui unafanya kazi kwa wahindi mshahara laki unusu? Unamwonea wivu dogo wa watu anakula 1m per month na garrrrr yake na digrrrr yake....hahaha...kaaaz kwel kwel.....Sie tusio na kitu mabinti lukuki wa kuoa tunawaona. LOL
Dadamtamu we una miaka mingapi? Jaribu bahati yako...au hupendi kuwa shugamami?
Hahahah comrade naona umeamka...
Jana ilikuwaje mpwa?
Aisee hiyo hatari, itabidi urivenji bana......Jana nilizima mpwa valuu chupa 2 na kili 7 dah hapa nahisi kufa kufa.
Kibaya zaidi nilikuwa na gemu mchangani nikaishia kuchezea mausi.
- ni kijana wa ki-Tanzania (kiswahili)
- 23 yrs old
- graduate: Logistics,
- kazi: international logistics company,
- mshahara: one million gross,
- Nikajikuta nikiwa busy vibaya mno na kazi,
- ...unatoka saa 4, sometimes you suppose to work at (!) weekends and public holidays
- kazi hii imenifanya nikose muda wa social things(!)
- bado still (!) nakaa home kwa wazazi so nikitoka job home.
- home sababu panajitosheleza na ninataka kuhama nikimaliza my own house
- ni first and last born in family,
- kazini natumia usafiri binafsi
- nafanya kazi na wageni esp Wafaransa, China, Ghana
- kukutana na woman of my life sababu naamini now nipo tayari kwa hilo emotionally and financially.
Naomba msaada wa mawazo wana jamii forums wenzangu.
A graduate? Sina uhakika na chuo ulichosomea lakini hili bandiko halifai kuwekwa na mtu aliye na shahada. Acha kulimbuka na milion moja fanya kazi kwa bidii na muda wako wa kuoa ukifika utaoa..
Skulmeti mbona zile bia zako kwa Jonista huendi kuzichukua? Leo nakuongezea mbili.
Aisee hiyo hatari, itabidi urivenji bana......